PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
Huyu faiza angekuwa analipa anachokitafuta kwa mond angekipata sema ndiyo hivyo mond hana time naye
Huyu faiza angekuwa analipa anachokitafuta kwa mond angekipata sema ndiyo hivyo mond hana time naye
Basi atakuwa mkulima halisi maana mchagua jembe siyo mkulimadiamond hachagui!!
huyo habari zake ukiambiwa unaweza kuzimia kwa mshtukoYani Faiza saiv ndo katulia😱, sipati picha alivyokua hajatulia😀