Faiza Ally ampa ushauri Diamond aachane na vibibi ale bata na dogodogo kwani bado kijana

Hivi nyinyi watu mna akili timamu kweli? Diamond aseme mara ngapi kwamba yeye hajaoa ndio wachamba wima mtamuelewa?
Nonsense.
 
Diamond akiendelea na bibi yule hawezi tulia
 
Nyie wanawake hamna lolote ni wivu tu kwa vibibi wenzie usikute lenyewe linafunga sala apate hata middle fingers za huyo jamaa haoni dalili hizo ndo kuwapiga vibibi wenzie majungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…