Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 974
- 2,305
Abdu kibaHivi unakumbuka nani kamtoa shule Tunda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abdu kibaHivi unakumbuka nani kamtoa shule Tunda?
Nitakutafutia hapa Uzi ulokuwa na issue hiyoAbdu kiba
Young DeeHivi unakumbuka nani kamtoa shule Tunda?
Kama sikosei kulikuwa enzi hizo na uzi wa kumlaumu Diamond kuhusu kumwachisha shule huyu binti au nazeeka vibayaYoung Dee
Ok kwahiyo young Dee alidandiaKama sikosei kulikuwa enzi hizo na uzi wa kumlaumu Diamond kuhusu kumwachisha shule huyu binti au nazeeka vibaya
Faiza hajamumunya maneno... Chibu ale maisha tu kwa sasaMuigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Faiza Ally amempa ushauri msanii wa muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kuwa kwa sasa ni muda wake wa kula ujana na kuizunguuka dunia na sio muda wa kujipa majukumu mazito ile hali umri wake bado mdogo.
Faiza Ally amesema Diamond bado hajamaliza hata robo ya dunia hivyo ingawaje ana jina kubwa barani Afrika hivyo angefanya kwanza vitu kama hivyo kuizunguuka dunia ikibidi ajiweke kando na mambo ya mahusiano.
![]()
“Diamond kijana mdogo sana anahitaji kuhave funny na watoto wenzie na sisi wadada wazima lazima taungalie watu wa kutoka nao, Go baba have a funny enjoy the world ndio useto down,“ameandika Faiza Ally kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumshauri kuwa ikibidi ajiweke mbali na mahusiano.
“Jiachie uwe huru ikibidi usiwe na mahusiano, bado hujaiona dunia hata robo wewe ni star hela ipo there is alot to see nasema with clean heart no hate kwa Zari au kwa yeyote.“ameandika Faiza.
Ushauri huo umekuja ikiwa ni wiki sasa imepita tangu kuenee tetesi kuwa Diamond Platnumz yupo kwenye mahusiano na msichana maarufu kwenye mitandao ya kijamii anayejulikana kwa jina la Tunda.
-Bongo5-
Ngoja niutafuteOk kwahiyo young Dee alidandia
uzi ule ulikuwa unamuhusu lynn,yule video qn wa "Kwetu" wa rayvanny na sio Tunda.Kama sikosei kulikuwa enzi hizo na uzi wa kumlaumu Diamond kuhusu kumwachisha shule huyu binti au nazeeka vibaya
Oh kumbe!uzi ule ulikuwa unamuhusu lynn,yule video qn wa "Kwetu" wa rayvanny na sio Tunda.