Faiza Ally ampa ushauri mzito Diamond Platnumz ‘hujaiona dunia hata robo’

Faiza hajamumunya maneno... Chibu ale maisha tu kwa sasa
 
Kama sikosei kulikuwa enzi hizo na uzi wa kumlaumu Diamond kuhusu kumwachisha shule huyu binti au nazeeka vibaya
uzi ule ulikuwa unamuhusu lynn,yule video qn wa "Kwetu" wa rayvanny na sio Tunda.
 
Diamond kijana mdogo sana anahitaji kuhave funny
anahitaji kuhave fun....lugha ya malkia hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…