Faiza Ally amuomba msamaha Sugu, adai Sugu "anachezewa" ili amsahau mwanae

Ila hajielewi! Alitingisha kiberiti njiti zikawa zimejaa
Bado unahisi hajielewi mkuu?
Faiza ni very smart now ana biashara yake ya outsourcing itakuwa inamlipa mils of money kila mwezi
 
Huyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
 
Huyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
Ukicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.
 
Ukicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.
Sio kampitisha Bali alikuwa anataka kumpitisha
 
Ukicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.
Duh.. sijawahi sikia hizo habari
 
Nashukuru kwa masahihisho, all in all hayakuwa mambo ya kuyaongea hadharani.
Ni kweli, hakupaswa kueleza hadharani Ila kipindi kile faiza alikuwa anachuki Sana kutokana na hiyo separation...ni Kama alikuwa ameshajiaminisha Sana kwamba sugu hapindui kwake hakutegemea kwamba angeachwa jumla...Ila Sasa hivi amebadilika Sana...kashakubali Kama Hana nafasi tena kwa sugu
 
Huyu dada ni chenga sana, bora Sugu alipita zake hivi kaoa kwingine kwan nani anataka hilo janga, Faiza ni janga tena janga haswa
Mwanamke asie na kaba ni janga! Anaweza kukutangaza kuwa una kisukununu kwenye matako bila aibu! Akili za Faiza na Joyce Kiria ni == Typical brats!
 
sugu alifanya mistake kubwa sana hata kulala tu na huyu binti, hakutakiwa kabisa kugusa mkosi huu. binti mshamba kupita kiasi lakini anaigiza maisha ya magharibi, hana elimu, hana akili, sehemu za siri tu ndio huumia kwa watu kama hawa.
 
mwanamke kama huyo hata kuchovya rungu lako tu kwa bahati mbaya utaonekana unafanana naye akili.
 
Katika wanawake wanaonipa reminder ya kuwa makini wakuzaa naye ni huyu Faiza ni time boom hujui atafanya nini next au kusema nini..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Huyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
Yes ana akili na yupo real. Zamani alikuwa anaboa kumlilia sugu kila wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…