Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unahisi hajielewi mkuu?Ila hajielewi! Alitingisha kiberiti njiti zikawa zimejaa
Kwann Sugu alitoka nduki?Huyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
Uzungu mwingi...Kwann Sugu alitoka nduki?
Ukicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.Huyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
Sio kampitisha Bali alikuwa anataka kumpitishaUkicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.
Nashukuru kwa masahihisho, all in all hayakuwa mambo ya kuyaongea hadharani.Sio kampitisha Bali alikuwa anataka kumpitisha
Mtu mwenyewe anajiita jongwe unategemea niniUkicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.
Jongwe ana ela nowMtu mwenyewe anajiita jongwe unategemea nini
Duh.. sijawahi sikia hizo habariUkicha pale alivyokuwa anahabarisha umma mambo yake ya faragha ya kuwa Sugu kampitisha sana barabara ya vumbi, pale nilimuona kama baadhi ya 'fyuzi' za ubongo zimeungua.
Ni kweli, hakupaswa kueleza hadharani Ila kipindi kile faiza alikuwa anachuki Sana kutokana na hiyo separation...ni Kama alikuwa ameshajiaminisha Sana kwamba sugu hapindui kwake hakutegemea kwamba angeachwa jumla...Ila Sasa hivi amebadilika Sana...kashakubali Kama Hana nafasi tena kwa suguNashukuru kwa masahihisho, all in all hayakuwa mambo ya kuyaongea hadharani.
Mwanamke asie na kaba ni janga! Anaweza kukutangaza kuwa una kisukununu kwenye matako bila aibu! Akili za Faiza na Joyce Kiria ni == Typical brats!Huyu dada ni chenga sana, bora Sugu alipita zake hivi kaoa kwingine kwan nani anataka hilo janga, Faiza ni janga tena janga haswa
Katika wanawake wanaonipa reminder ya kuwa makini wakuzaa naye ni huyu Faiza ni time boom hujui atafanya nini next au kusema nini..Mwanadada Faiza Ally akiwa kwenye interview na Zamaradi TV ameelezea maisha yake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi kuanzia kukutana kwao, kuachana na hadi ugomvi wao wa kuhusu matunzo ya mtoto.
Kukutana kwao
Faiza anamlaumu Sugu kwa 'kumharibia' ladha ya wanaume wa Kitanzania kwani alishazoea kuwa kwenye mahusiano na Wazungu kwani alikuwa akitembelea hoteli za kitalii.
Faiza anasema Sugu alimkuta akiwa na maisha yake yaani pesa, magari na kila kitu hivyo anampenda bila sababu yoyote.
Kuachana
Faiza ingawa hajaeleza moja kwa moja sababu ya kuachana na Sugu, amegusia kuwa imechangiwa na mama mkwe yaani Marehemu mama wa Joseph. Amedai mama huyo hakuwahi kumpenda ingawa alimtendea wema sana.
Anadai baada ya kuachana na Sugu, wifi yake alimueleza kuwa mama aliwahi kuapa kuwa Faiza hawezi kufanikiwa kuishi na Sugu na hatopata chochote kwa mwanaye huyo.
Amesema anahisi mama Sugu hakumpenda kwa sababu ya usasa na uzungu mwingi aliokuwa nao kwani alikuwa anaenda naye beach na kuvaa bikini mbele yake bila kujali kuwa yule ni mama wa kitanzania.
Ugomvi kuhusu matunzo ya mtoto
Faiza ni muigizaji wa filamu lakini amejulikana sana kutokana na bifu lake na Mbunge Sugu ambapo mara nyingi amekuwa akilalamika kutosaidiwa kumlea binti yao Sasha Desderia.
Faiza anaeleza kuwa Sugu hamtunzi mtoto wake na ameanza kumlipia ada ya shule hivi karibuni tena kwa masharti kadha wa kadha ikiwemo kumwambia "Happy(mke wa Sugu) anamtafutia Sasha shule"
Anaendelea kudadavua kuwa amewahi kwenda kwa waganga ama "maustadhi" kuombewa dua na mara zote akishafanyiwa visomo baba Sasha hujirudi na kumtafuta mwanae japo kwa muda mfupi hivyo anaamini kuna nguvu za giza zinatumika kumpumbaza asimkumbuke mwanaye.
Ugomvi na Mke wa Sugu aitwaye Happy
Faiza amemuita Happy shetani akidai hana mapenzi na mwanae na kuwa ana sura nyingi na anaigiza maisha ili aonekane mama bora.
Faiza anasema mwanaye Sasha alipokwenda Mbeya kipindi Sugu yuko gerezani, alizuiwa kwenda kwenye hoteli ya baba yake kwa sababu zisizo na mashiko.
Pia anadai kuwa Happy kama mwanamke hakuwa na busara kukubali Sugu ampeleke yeye mahakamani kudai custody ya mtoto wa miaka miwili ili apelekewe yeye kumlea.
Vile vile ameeleza kuwa akaunti feki za instagram zinazomtukana yeye ni za Happy kwani Happy sio staa wa kuwa na fanpage zinazotukana maadui zake.
Faiza amefunguka vitu vingi ikiwemo mapenzi yake kwa Sugu. Zaidi, angalia interview yake
Pia soma
Faiza Ally: Sugu Mzuri, nipo tayari kumpa tena
Faiza Ally ambaye ni muigizaji wa Bongo movie na mama watoto wa Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kuwa hayuko tayari kuolewa na mzazi mwenzake huyo bali anaweza mzalia mtoto mwingine. Faiza amefunguka hayo katika mazungumzo yake na eatv.tv ambapo amesema kuwa hana ndoto za...www.jamiiforums.com
Tumuombee Faiza Ally, mzazi mwenza wa Sugu, ana maumivu makali sana
Siku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kiliowww.jamiiforums.com
Yes ana akili na yupo real. Zamani alikuwa anaboa kumlilia sugu kila wakati.Huyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
Kuongea sio kutendaHuyu mwanamke nilikuwa ninamdharau sana, mpaka siku milisikiliza interview yake na mboni. Ndo nikajua katika wanawake maarufu wote wa Tanzania hakuna mwanamke ana akili nyingi kama Faiza Ally
Kutenda anatenda, ndo maana ana hela zaidi yakoKuongea sio kutenda