Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Tunaisubiri Kwa hamuSijui iyo videoclip itakuwaje, ♂️♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaisubiri Kwa hamuSijui iyo videoclip itakuwaje, ♂️♂️
Mkuu kusudi haina pole...!Acha zako wewe, ni kwamba nawe unasapoti huu ujinga!!!
Binadamu sasa tumekua kama wanyama duh
Tunaisubiri Kwa hamu
Mzazi mwenzie na Sugu Motochini katika ubora wake. Uzungu nao changamoto kweli kweli.
Kapost katika page yake ya Instagram
Mkuu kusudi haina pole...!
kama ameamua kutupa elimu ya bure ya child delivery ndo tukatae? za youtube zimetutosha tunataka kuona ya mbongo mwenzetu live wakiwa leba wanajifunguaje....we kama hutaki akitupia usijishuhulishe kuiangalia wala kuitafuta..delete before watching.
Unataka kukupigia naniliyu la mkono?Mbona hakionekani vizuri
Mzazi mwenzie na Sugu Motochini katika ubora wake. Uzungu nao changamoto kweli kweli.
Kapost katika page yake ya Instagram
Picha hiyo hapo juu
Mwenye picha kakasirika kufutwa picha yake sasa nini wewe kinakuwasha?Kuna picha zina sambaa mtandaoni zikimuonyesha Faiza Ally akiwa leba anajifungua uchi wa mnyama, kweli hizi picha huenda alizipiga kwa kupenda kwake huyu dada huwa namchukulia kama mentally challenged.
Nimeshtuka nakuogopa kuona Soudy umepost kwenye IG page yako bila kujali maelezo uliyayaambatanisha, angekuwa dada yako au mama yako ungeweza kufanya hivyo au ndio unatafuta umaarufu.
Kitendo hiki ni cha kishetani kinyume na maadili na pengine ni kinyume na sheria na nikikutana na wewe mtaani naweza kukuchukulia sheria mikononi.
Cc Ummy mwalimu
Picha ninayo siwezi kuiweka humu