CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,572
- 1,379
yupo sawa;hata camera zifungwe tu,asije akabadilishiwa mtoto.
na kama ulijizoesha kutizama porn za mashoga wakipakuliwa nya,ipo siku inaletwa habari ya kulatiwa mtoto wa kiume wa miaka mitano,utatoa kauli kama hiyo.Labda kuangali porn nilipokua teeneger kume ni disturb, lakini hiyo ni picha ya kawaida kabisa. Vitabu vya sayansi vya shule za msingi vina michoro/picha za uchi kabisa, ukiangalia hadi unashtuka
Ongeza glass mkuuna kama ulijizoesha kutizama porn za mashoga wakipakuliwa nya,ipo siku inaletwa habari ya kulatiwa mtoto wa kiumi wa miaka mitano,utatoa kauli kama hiyo.
tusitumie madhaifu yetu kuhalalisha tabia za kishenzi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ustaa unawapa vichaa mabinti na wanawake wa kitanzania. Sugu hapa kudate na huyu mwanamama nadhani alipuliza kwanza cha Arusha ndo akashusha verse zake si kwa akili timamu
asante sana...[emoji122] [emoji122] [emoji122]Ongeza glass mkuu
Kibumbu?![emoji2] [emoji2] habari za kiroka Mkuu!!Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyo someka hapo juu
Mwanadada faiza ambaye ni mke wa mbunge sugu aka joseph amejifungua katoto leo hospitaly na amejifungua salama salimin
Kitu ambacho kwa sasa ni gumzo huko mtandaon ni kwamba katupia picha akiwa anajifungua yaan ndo katoto kakiwa kanatoka tumbon akiwa kakashika huku kapanua mapaja yake yote yako waz yaan kila kitu kiko nje nje
Kibumbu chote kiko waz yaan hajavaa chochote had matiti yako waz unaelewa maana ya mtu aliyeko uchi ndo hivo sasa
Huyu dada sielewi anasumbuliwa na kitu gan jaman sijui hata kama ana kaka zake
Naogopa kuweka hapa hiyo picha lakin kama kuna jasir aiweke
LONDON BABY
Mwambiee akuekee kreti zimaa mezan najaa lipaa nimetokaa mereran nina mkwanja wa madiniHuyu mwanamke mthenge sana..... Mmeshaniharibia siku... Waiter rudisha hii bia
N mjombaa wakeeSamahan mkuu mimi najuaga hivyo kwani faiza sugu ni kaka yake?
Babia aibadirikiAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Tarifa kutoka wizara ya afya zinasema kuwa madaktar wote waliohusika na kukubali had mwanadada faiza ambaye ni mke wa mbunge wa chadema sugu aka joseph kujipiga picha ya utupu akiwa anazalishwa watachukuliwa hatua kali za kisheria
Picha hiyo faiza alijipiga akiwa ndo anazalishwa akiwa uchi wa mnyama kibumbu kikiwa kimetuna kimevimba
Wizara imedai kuwa chumba cha kuzalisha huwa ni siri na harusiwi mtu yeyote kuingia tofaut na amayezalishwa na madaktar wenyewe
Pia chumba cha kuzalishwa haparuhisiwi kuingia kamera
Picha imevuja kibumbu kiko nje
Picha hii hapa
View attachment 643130
Ni hatar sana mazee
LONDON BABY