Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliambiwa leba watu hawaingii na simu?Mamlaka ya kuingia na camera leba?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu mwanamke mthenge sana..... Mmeshaniharibia siku... Waiter rudisha hii bia
Kasema mwenyewe cheki hiiSidhan kama aliruhusu itakua amefanyiziwa nawatu wa sugu ili azid kuaibika hawez ruhusu kitu kama hii hapa nakataa
Povu unajitolea mwenyewe huwezi andika kuwa Faiza Ni mke wa sugu kitu ambacho unakifahamu si kweli hivyo kama hufahamu kitu kabla hujapost unatakiwa ujirishishe kwanza sio unaropoka tu
Mi hata sijaona uchiLabda kuangali porn nilipokua teeneger kume ni disturb, lakini hiyo ni picha ya kawaida kabisa. Vitabu vya sayansi vya shule za msingi vina michoro/picha za uchi kabisa, ukiangalia hadi unashtuka
Sidhani kama aliyepiga picha ni mkunga, inawezekana ni baba mtoto kama alikuwepo au ndugu yake yoyote alieingia nae labourHivi kwa akili ya kawaida hii ni picha ya kujipiga/selfie? Atafutwe mkunga aliyempiga mchezo uishe.
Labda kama ana mikono mitatu.
Labda madaktari watuambie kuwa hairuhusiwi kupiga picha labour. Kama hakuna hiyo sheria basi faiza hana kosa, acha atuonyeshe kwani kaamua mwenyewe hakulazimishwa na mtu.Nenda kambi yoyote ya jeshi uwe unajipiga vi-selfie kila kona, halafu useme picha najipiga kwa idhini yangu.
Kila mahali na utaratibu wake, na zaidi si maadili mama mtumzima kujipiga picha unazalishwa.
Au ni sifa nzuri?
Ni kweli wamekiuka?Watashtakiwa wore....
Madaktari watawajibishwa kwa kukiuka maadili ya kazi yao....sio kila anachotaka mgonjwa lazima umfanyie.....!!!
Faiza atashtakiwa kwa cyber crime kusambaza picha za utupu.
Mimi mwanamke sijadhalilishwa maana huo sio mwili wangu. Halafu tangu lini kuzaa kukawa ni udhalilishaji?Hiyo picha mods waiondoe inadhalilisha tu wanawake
Akashtakiwe kwa kosa lipi? Hebu tudadavue na wanasheria watusaidie..kweli hizi simu za wachina zinaipeleka Africa na Tanzania ikiwemo kwa kasi sana.
Jamani, naandika comment hii.ila hadi keyboard inakataa nisi type maana hii siyo destruri nzuri kwa mwanamke wa kiafrika hasa mtanzania.
Aiseeeeh, so rude and crazy!!
Madaktari hawana makosa serikali //polisi na wizara inayohusika imkamate tu huyo mwanamke.
Mwanamke yupi aliyedhalilishwa mkuu?Aiseeeeh!!
Hii ni laaana kwa mtoto maana atatukanwa na kudharirishwa kwa picha hizo ila Baba na Mama hawana kabisa haya!!!
Ni aibu sana.
Siyo jambo la kawaida kabisa nahisi vibaya Sana kwa kitendo hiki.
Amewadharirisha wanawake Aiseeeeh, it's very rude and crazy for sure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sioni tofauti yake na wanaohamia CCM
Ndugu anaingia mkuu. Mume au ndugu mmoja ni ruksa kabisa. Huko kwenye hospitali zetu za kata ndo hakuna uwezekano huo kutokana na miundo mbinu ya vyumba vyenyewe!Ethics za Udaktari/unurse zimeenda wapi?
Hapo hata third stage ya labour haijaisha unapiga picha.
Hakuna mahali panaheshimiwa kama labour hata ndugu haingii sijawahi ona mama na ule uchungu wote akikumbuka simu labour.
Kuna siri nyuma ya hii picha hata kama ni uzungu its too much
Sidhani kama kuna hiyo sheria. Tunaingia na simu zenye camera kila siku.Mamlaka ya kuingia na camera leba?
Kwani mtoto ni wa sugu?Hiyo picha hajajipiga ila kapigwa na Sugu mwenyewe. Wamkamate Sugu