Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Tatizo siku hizi Milembe haifanyi kazi zake sawa sawa. Zamani huyu anakwenda kuishi huko kuponya uchizi mpaka apone ugonjwa wa akili
 
Sidhan kama aliruhusu itakua amefanyiziwa nawatu wa sugu ili azid kuaibika hawez ruhusu kitu kama hii hapa nakataa
Kasema mwenyewe cheki hii
926197c050aed0b2de0b7c3776228329.jpg
 
Laana ya limwanamke kama hili ni mbaya dawa ni kulsht
 
kuna safari ndefu sana hapo kwenda chini mpaka ukikute kibumbu au mwenzetu hukijui
 
Hivi wajuzi wa mambo, nimekua nikiona sana nchi za wenzetu mwanamke anapokuwa leba kujifungua basi na mumewe au mwanaume wake uwepo pale kumpa mpa moyo na vitu kama ivyo,

Sasa naomba kujua hapa kwa tz hii kitu ipo au sheria kama hizo zipo zinakataza kuingia leba..

Nilikuwa najifikiria na mimi wangu siku zikiwadia niwepo karibu yake kushuhudia tukio zima na kumpa moyo ...ila si kwa matusi ya wakunga wa kibongo bongo [emoji4][emoji4]
 
Povu unajitolea mwenyewe huwezi andika kuwa Faiza Ni mke wa sugu kitu ambacho unakifahamu si kweli hivyo kama hufahamu kitu kabla hujapost unatakiwa ujirishishe kwanza sio unaropoka tu

Kuna jambo unaweza jiridhisha kabisa Sio kweli Mbona hapa hata uzi mmoja usingekuwepo. Msiwe vinyonga. Leo hili kesho lile. Hapa Mahali ni Pa kupotezea muda. Ukiona unapaniki sana jua una Frustrations zingine. Na kwa afy yako Heri utulie.
 
Hatishi kwakuwa hata chura hana vipaja kama vya kanga aendelee na uchizi wake mpumbavu huyo
 
Labda kuangali porn nilipokua teeneger kume ni disturb, lakini hiyo ni picha ya kawaida kabisa. Vitabu vya sayansi vya shule za msingi vina michoro/picha za uchi kabisa, ukiangalia hadi unashtuka
Mi hata sijaona uchi
 
Hivi kwa akili ya kawaida hii ni picha ya kujipiga/selfie? Atafutwe mkunga aliyempiga mchezo uishe.
Labda kama ana mikono mitatu.
Sidhani kama aliyepiga picha ni mkunga, inawezekana ni baba mtoto kama alikuwepo au ndugu yake yoyote alieingia nae labour
 
Nenda kambi yoyote ya jeshi uwe unajipiga vi-selfie kila kona, halafu useme picha najipiga kwa idhini yangu.

Kila mahali na utaratibu wake, na zaidi si maadili mama mtumzima kujipiga picha unazalishwa.
Au ni sifa nzuri?
Labda madaktari watuambie kuwa hairuhusiwi kupiga picha labour. Kama hakuna hiyo sheria basi faiza hana kosa, acha atuonyeshe kwani kaamua mwenyewe hakulazimishwa na mtu.
 
Watashtakiwa wore....
Madaktari watawajibishwa kwa kukiuka maadili ya kazi yao....sio kila anachotaka mgonjwa lazima umfanyie.....!!!

Faiza atashtakiwa kwa cyber crime kusambaza picha za utupu.
Ni kweli wamekiuka?
 
kweli hizi simu za wachina zinaipeleka Africa na Tanzania ikiwemo kwa kasi sana.

Jamani, naandika comment hii.ila hadi keyboard inakataa nisi type maana hii siyo destruri nzuri kwa mwanamke wa kiafrika hasa mtanzania.

Aiseeeeh, so rude and crazy!!

Madaktari hawana makosa serikali //polisi na wizara inayohusika imkamate tu huyo mwanamke.
Akashtakiwe kwa kosa lipi? Hebu tudadavue na wanasheria watusaidie..
 
Aiseeeeh!!

Hii ni laaana kwa mtoto maana atatukanwa na kudharirishwa kwa picha hizo ila Baba na Mama hawana kabisa haya!!!

Ni aibu sana.

Siyo jambo la kawaida kabisa nahisi vibaya Sana kwa kitendo hiki.

Amewadharirisha wanawake Aiseeeeh, it's very rude and crazy for sure.
Mwanamke yupi aliyedhalilishwa mkuu?
 
Ethics za Udaktari/unurse zimeenda wapi?
Hapo hata third stage ya labour haijaisha unapiga picha.
Hakuna mahali panaheshimiwa kama labour hata ndugu haingii sijawahi ona mama na ule uchungu wote akikumbuka simu labour.
Kuna siri nyuma ya hii picha hata kama ni uzungu its too much
Ndugu anaingia mkuu. Mume au ndugu mmoja ni ruksa kabisa. Huko kwenye hospitali zetu za kata ndo hakuna uwezekano huo kutokana na miundo mbinu ya vyumba vyenyewe!
 
Back
Top Bottom