Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Watu wa wizara tumieni akili. Aliye jipiga picha ni mtu mzima. Kwanini msimchukulie hatua huyo huyo. AKILI ZA KUAMBIWA TUMIENI NA ZA KWENU. H.E J.M.KIKWETE
 
Aliyemthomba ndyo kampiga hiyo picha waache uthenge

Kumuanika mwanariadha wa Japan Kawauchi si jambo LA kusameheka kwenye majimbo ya Japan kama Fukushima,Shikakuma,
 
Abadilishiwe mtoto ili iweje sasa?
Hivi ma hospitalini huwa kuna watoto wa ziada wa kubadilishwa mara kina mama wajawazito wanapo jifungua?
Na kwa nn uende Hospital ambayo una itilia shaka ya kubadilishiwa mtoto wako?
hujaelewa ww. Anadai zifungwe mtaani maana anaweza kubadilishiwa mtoto cos hajitambui
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu

Tarifa kutoka wizara ya afya zinasema kuwa madaktar wote waliohusika na kukubali had mwanadada faiza ambaye ni mke wa mbunge wa chadema sugu aka joseph kujipiga picha ya utupu akiwa anazalishwa watachukuliwa hatua kali za kisheria

Picha hiyo faiza alijipiga akiwa ndo anazalishwa akiwa uchi wa mnyama kibumbu kikiwa kimetuna kimevimba

Wizara imedai kuwa chumba cha kuzalisha huwa ni siri na harusiwi mtu yeyote kuingia tofaut na amayezalishwa na madaktar wenyewe

Pia chumba cha kuzalishwa haparuhisiwi kuingia kamera

Picha imevuja kibumbu kiko nje

Picha hii hapa
View attachment 643130

Ni hatar sana mazee


LONDON BABY
We Bumunda Faiza sio mke wa Sugu
 
hujaelewa ww. Anadai zifungwe mtaani maana anaweza kubadilishiwa mtoto cos hajitambui
Ina maana Kiswahili kina nipiga chenga kiasi hiki?
Embu rudia kusoma alicho andika then linganisha na ufafanuzi wako.......sijaona sehemu yoyote kasema Camera zifungwe barabarani.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu

Tarifa kutoka wizara ya afya zinasema kuwa madaktar wote waliohusika na kukubali had mwanadada faiza ambaye ni mke wa mbunge wa chadema sugu aka joseph kujipiga picha ya utupu akiwa anazalishwa watachukuliwa hatua kali za kisheria

Picha hiyo faiza alijipiga akiwa ndo anazalishwa akiwa uchi wa mnyama kibumbu kikiwa kimetuna kimevimba

Wizara imedai kuwa chumba cha kuzalisha huwa ni siri na harusiwi mtu yeyote kuingia tofaut na amayezalishwa na madaktar wenyewe

Pia chumba cha kuzalishwa haparuhisiwi kuingia kamera

Picha imevuja kibumbu kiko nje

Picha hii hapa
View attachment 643130

Ni hatar sana mazee


LONDON BABY
Kama hiyo ndo ilikua njia pekee ya kumuokoa mama na mtoto je?. Tanzania tuache kufuatilia vitu ambavyo sio matatizo ya mtanzania.

Wenzetu wanazalisha nuclear, sisi tupo busy na maisha ya watu binafsi.
 
Hiyo picha hajajipiga ila kapigwa na Sugu mwenyewe. Wamkamate Sugu
 
Labda kuangali porn nilipokua teeneger kume ni disturb, lakini hiyo ni picha ya kawaida kabisa. Vitabu vya sayansi vya shule za msingi vina michoro/picha za uchi kabisa, ukiangalia hadi unashtuka
Sugu hanaga taste aisee
 
Ethics za Udaktari/unurse zimeenda wapi?
Hapo hata third stage ya labour haijaisha unapiga picha.
Hakuna mahali panaheshimiwa kama labour hata ndugu haingii sijawahi ona mama na ule uchungu wote akikumbuka simu labour.
Kuna siri nyuma ya hii picha hata kama ni uzungu its too much
Hakuna siri...huyu dada na kichaaaa....anapenda kiki ns sifa za kijinga
 
Picha imevuja kibumbu kiko nje

"Imevuja" is the wrong word. Faiza kasema yeye mwenyewe ndio kaanika picha yake.

"Imevuja" ni engine oil ambayo mwenye gari alitaka ibaki ndani ya engine lakini amesikitika kuikuta kwenye tenki la antifreeze na sasa analazimika kufumua engine yote kubadilisha head gasket. Hapa hakuna kuvuja, Faiza hakutaka pawe na siri.

Serikali imesema chumba cha uzazi ni siri, siri ya nani?
 
Back
Top Bottom