Hii kitu ipo miaka mingi tu. Ukitaka nenda hospitali private. Za serikali hakuna hayo mambo!Hivi wajuzi wa mambo, nimekua nikiona sana nchi za wenzetu mwanamke anapokuwa leba kujifungua basi na mumewe au mwanaume wake uwepo pale kumpa mpa moyo na vitu kama ivyo,
Sasa naomba kujua hapa kwa tz hii kitu ipo au sheria kama hizo zipo zinakataza kuingia leba..
Nilikuwa najifikiria na mimi wangu siku zikiwadia niwepo karibu yake kushuhudia tukio zima na kumpa moyo ...ila si kwa matusi ya wakunga wa kibongo bongo [emoji4][emoji4]
akikimbaHivi wajuzi wa mambo, nimekua nikiona sana nchi za wenzetu mwanamke anapokuwa leba kujifungua basi na mumewe au mwanaume wake uwepo pale kumpa mpa moyo na vitu kama ivyo,
Sasa naomba kujua hapa kwa tz hii kitu ipo au sheria kama hizo zipo zinakataza kuingia leba..
Nilikuwa najifikiria na mimi wangu siku zikiwadia niwepo karibu yake kushuhudia tukio zima na kumpa moyo ...ila si kwa matusi ya wakunga wa kibongo bongo [emoji4][emoji4]
Kijana wangu akizaliwa tena kwa oparesheni niliingizwa pale chumbani kukaa karibu na mzazi nusu saa anapigwa visu mi nimeshika mkono nampooza wife ni michozi tu.Hii kitu ipo miaka mingi tu. Ukitaka nenda hospitali private. Za serikali hakuna hayo mambo!
Akili zako unazijua mwenyeweMimi mwanamke sijadhalilishwa maana huo sio mwili wangu. Halafu tangu lini kuzaa kukawa ni udhalilishaji?
Ndio shida ya mlio zaliwa mpiji majohe kujiona ni watoto wa Beverly HillsMimi mwanamke sijadhalilishwa maana huo sio mwili wangu. Halafu tangu lini kuzaa kukawa ni udhalilishaji?
Hiyo ilikuwa wapi U.K au??Kijana wangu akizaliwa tena kwa oparesheni niliingizwa pale chumbani kukaa karibu na mzazi nusu saa anapigwa visu mi nimeshika mkono nampooza wife ni michozi tu.
Ila kwa wenzetu jamaa nawasifu walisema dk 30 na kweli dk 30 wakanikabidhi kijana nikamwogeshe huku wao wakimalizana na mama.
Niliwavulia kofia.
Bongo sasa
Kazaa na Sugu tu, enzi zile haka kabinti kazuri. Ila kwa sasa siyo mke!Samahan mkuu mimi najuaga hivyo kwani faiza sugu ni kaka yake?
Si watazoa wahudumuakikimba
Kwa iyo Faru John na Chi-luki ni mtu na mme wake?Samahan mkuu mimi najuaga hivyo kwani faiza sugu ni kaka yake?
Ohh sawa thank you demi demi demiHii kitu ipo miaka mingi tu. Ukitaka nenda hospitali private. Za serikali hakuna hayo mambo!
Mpaka leo umeshindwa kuonyesha picha ya kibumbu[emoji12]Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Tarifa kutoka wizara ya afya zinasema kuwa madaktar wote waliohusika na kukubali had mwanadada faiza ambaye ni mke wa mbunge wa chadema sugu aka joseph kujipiga picha ya utupu akiwa anazalishwa watachukuliwa hatua kali za kisheria
Picha hiyo faiza alijipiga akiwa ndo anazalishwa akiwa uchi wa mnyama kibumbu kikiwa kimetuna kimevimba
Wizara imedai kuwa chumba cha kuzalisha huwa ni siri na harusiwi mtu yeyote kuingia tofaut na amayezalishwa na madaktar wenyewe
Pia chumba cha kuzalishwa haparuhisiwi kuingia kamera
Picha imevuja kibumbu kiko nje
Picha hii hapa
View attachment 643130
Ni hatar sana mazee
LONDON BABY
Huo mwili ni reflection yako pia, kila kinachoonekana apo ni sawa na chako uko ulipoMimi mwanamke sijadhalilishwa maana huo sio mwili wangu. Halafu tangu lini kuzaa kukawa ni udhalilishaji?
Nani kapanic ndugu yangu ?Kuna jambo unaweza jiridhisha kabisa Sio kweli Mbona hapa hata uzi mmoja usingekuwepo. Msiwe vinyonga. Leo hili kesho lile. Hapa Mahali ni Pa kupotezea muda. Ukiona unapaniki sana jua una Frustrations zingine. Na kwa afy yako Heri utulie.