Sure..Kama anawadudu kichwani..Na kipindi cha nyuma hakuwa maarufu hivi..Hivi vituko ndo vinamemuweka kwenye midomo ya watu..Uenda ndo lengo lakeKuna kipindi anamtukana sugu weeee
Kuna kipindi anaposti kuwa anampenda
Mwezi ukiwa mchanga anamshambulia Happy demu.mpya wa sugu weeee
Na inawezekana sio stress za kuachwa.....ila labda sugu alikuwa anamcontrol na hakutaka upuuzi...na kwa kuwa alikuwa na expectation za kuwa mrs mbunge...mmiliki wa mimali ya sugu akawa anaficha makucha......
Sana mnatisha aiseeHata ibilisi anatuogopa
Sio shughuli nyepesiKimevimbaaa! Aisee watoto tunawapenda ilaaa!
...pumbu za kikekibumbu ndo nini
Mkuu hicho ni kisukuma ama?Hahaaa noma sana mkuu
Kila kwenye mafanikio nyuma yake kuna mwanamke lakini pia kila kwenye machukizo na uharibifu nyuma yake kaa na mwanamke.huwa namwoneaga huruma sana mbunge wangu mbilinyi, huyu dada walishaachana kitambo ila kila kituko anachokifanya huyu dada hasa mitandaoni lazima wamlifae mh. mbilinyi! Ai kenti imagini Mh.mbilinyi anajisikiaje pindi anapoona jina lake linatajwa kwenye kituko cha huyo dada faiza!??
Acha woga, uzuri watoto hao huingia wakati wa stareheKimevimbaaa! Aisee watoto tunawapenda ilaaa!
[emoji23][emoji23]Acha woga, uzuri watoto hao huingia wakati wa starehe