Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Kitumbua hakijaonekana linaonekana paji tu uso wa kitumbua.. ingependeza zaidi mumshauri apige ingine tuone kitumbua
 
Sure..Kama anawadudu kichwani..Na kipindi cha nyuma hakuwa maarufu hivi..Hivi vituko ndo vinamemuweka kwenye midomo ya watu..Uenda ndo lengo lake
 
Hivi uyo mtoto siku akija kuwa waziri akajua kua alidhalilishwa hivo si atajiudhuru hata huo uongozi?
 
🙄🙄🙄
Shilawadu wa JF nakuaminia
 
Amedhalilisha wamama wote aisee..those are private parts..halafu huyo mtoto kama ni kidume anakuja anaona private parts za mama ake kabisa....kama ni wa kike akijatembea amevaa bikini tu barabarani mama ake atasema nn?
Kuna wanawake wanalaana kabisa
 
Kila kwenye mafanikio nyuma yake kuna mwanamke lakini pia kila kwenye machukizo na uharibifu nyuma yake kaa na mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…