Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndio uliwafungiaha hyo ndoa?huyo mtoto aliyejifungua na picha zake zimesambaa amezaa na Sugu?usijifanye hujui unamfahamu ulichomaanisha na kwile uko upande ule umeona ukimuingiza Sugu thread yako itapata like nyingiSamahan mkuu mimi najuaga hivyo kwani faiza sugu ni kaka yake?
Yaani huyu Dada si mzima kwa kweliifike sehemu huyu mdada adhibitiwe atasababisha upuuzi wake uonekane jambo la kawaida
Kuna ambaye hajui kuwa binadamu uwa anajisaidia haja kubwa?Nini cha ajabu hapo?
Kuzaa ama?
Kwani nyie wote mnaoshangaa mlizaliwaje? Na nyie ambao mshazaa mlizaaje kwani?
Kwani hapa Tanzania baadhi ya wanawake huwa hawaendi kwenye labor nyumbani, mitaani, na kwingineko kusiko spitalini?
Mimi nishawahi kumsaidia mdada mjamzito kujifungua mwanae nje kwenye parking lot ya grocery store kwa sababu that’s where her water broke and she needed help.
Hakuona aibu na wala sikuona ni kitu cha ajabu. Toka lini kitendo cha kuleta kiumbe hai kingine hapa duniani kionekane au kichukuliwe kama ni taboo?
Y’all need to change. This has nothing to do with Uzungu or whatever.
This is about life. A new life. And there’s nothing wrong with that.
Mzazi mwenzie na Sugu Motochini katika ubora wake. Uzungu nao changamoto kweli kweli.
Kapost katika page yake ya Instagram
Wewe dada vp niko upande ule upi?Ww ndio uliwafungiaha hyo ndoa?huyo mtoto aliyejifungua na picha zake zimesambaa amezaa na Sugu?usijifanye hujui unamfahamu ulichomaanisha na kwile uko upande ule umeona ukimuingiza Sugu thread yako itapata like nyingi
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Mkuu kuzaa kazaa miezi hiyo mitatu iliyopita ila picha za kuzaa kapost leo mleta habari hakuandika habari kwa usahihihuyu dada kwa mwaka anazaa mara ngapi kwani [emoji32] si juzi tuu nilisikia amezaa na mtt anampeleka klinikii!!!!!
mimba zake za miezi 3 au!!?[emoji20][emoji20]
ss hivi nasikia ibilisi anakataa na dhambi nyingine anasema mnamsingiziaaa....wabunifu wa dhambi teh!Hata ibilisi anatuogopa
Chapa kazi mkuuUnajua mkuu wabongo usipoweka picha wataanza kuomba picha yaan watakusumbua sana aisee
Povu unajitolea mwenyewe huwezi andika kuwa Faiza Ni mke wa sugu kitu ambacho unakifahamu si kweli hivyo kama hufahamu kitu kabla hujapost unatakiwa ujirishishe kwanza sio unaropoka tuWewe dada vp niko upande ule upi?
Wewe ndo mke wa sugu?
Mbona una nitolea povu mimi wakati mimi sii faiza wala sugu
Hili povu kamutolee sugu na faiza
Achana na mimi tafadhar
Mi nimeleta maada tu dada yangu
Mimi sio yule niliyepiga hii picha
Usinitolee povu mimi
aisee nilitaka nishangaee....nimewai kuonaga taarifa ya kuzaa humu mwaka huu alafu leo tena azae mmh!Point of correction. Hajajifungua leo....ni kitambo,mwaka huu huu tho
Ila huu udhungu utatutokea puani siku moja..