Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Faiza Ally atupia picha akiwa anazalishwa, kibumbu chote nje

Usikute mtoto kamwiba huyu,alaf analeta udambwidambwi maana wengne wakijfungua wanabadlshaga mtoto
 
hawa dada zetu ifike mahali wajiheshim,huyu ni mama kesho mtoto atakua na kuona vitu kama hivi akiwa kama mzazi atamrekebisha mtoto wake akikosea?
 
Dah!,ndio maana mwenyezi MUNGU alisema,tuishi nao kwa akili.
 
hawa dada zetu ifike mahali wajiheshim,huyu ni mama kesho mtoto atakua na kuona vitu kama hivi akiwa kama mzazi atamrekebisha mtoto wake akikosea?
Huyu Dada huwa hamnazo nilimuona punguani siku ya birthday yake alivaa Pampers hapo ndio nilimtoa thamani kabisa
 
Kuna watu kwenye dunia hii akili zao sijui ziko miguuni
 
Eti siri ya daktari na nani sijui. Kuna watu wakijifungua wanaomba baba awepo na anaingia chumba cha kujifubgulia. Kuna watu wanaomba wachukuliwe video wakijifungua.
Kosa lake nini iwapo kaomba picha zipigwe wakati anajifungua?
Mie nadhani mkuu kosa sio kupiga picha, kosa ni kuzirusha mtandaoni! Kila kitu kina kiasi chake
 
Samahan mkuu mimi najuaga hivyo kwani faiza sugu ni kaka yake?
Acha uzwazwa mkuu,faiza no
Mrupo tu Sugu aliuhondomola akazaa nae hakua mkewe na walimwagana kitambo.
Huyo mtoto mpya kaliwa uroda na jamaa mwngn sio sugu.
Na wewe ukitaka zile milion 12 unazotaka kununua gari ama kujenga piga stop,mtafte faiza ule mambo.
 
Unajua mkuu wabongo usipoweka picha wataanza kuomba picha yaan watakusumbua sana aisee

Safi sana ulivyoambatanisha na picha umekamilisha habari.

Ila huyo bint kwa hiyo picha anaoneka sio mzima......ndugu zake wamkamate kwa nguvu wampeleke Mirembe chap.
 
Safi sana ulivyoambatanisha na picha umekamilisha habari.

Ila huyo bint kwa hiyo picha anaoneka sio mzima......ndugu zake wamkamate kwa nguvu wampeleke Mirembe chap.
Kweli mkuu apelekwe mirembe huyu dada
 
Jinga sana hili dada......lina ficha ndala(nyonyo) kuonekana lina achia mbunye(ki tumbua) nje
 
Back
Top Bottom