Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Mzigo wa TaifaMakao makuu ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigo wa TaifaMakao makuu ya nchi
Lakini na yeye si alimove-on akazaa na msela? Au ndio yule aliomba maji taka?Alikuwa anasema baba li ni handsome alitaka mbegu yake tu.😂😂😂😂
Wanyaturu na warangi ni tatizo linalojitegemea nimeshuhudia drama zao live plus ushirikina aisee!!!Wanyaturu hatuna watu wa akili ile [emoji3][emoji3] msimkatae ndugu yenu bwana!
faiza kinachomwumiza ni mafanikio ya sugu , anaona kama mwanamke mwenzake kamnyang'anya tonge mdomoni.Sugu ashaona Faiza ni kichaa ndo maana hana muda naee yani Jamaa anampotezeaa mpaka faiza roho inamuuma.. Huyo happy nae ndo komesha sasa kama hamuoni anayoyafanyaa toka juzi anapost mambo ya Biashara yake tuu hana habarii kama hakijatokea kitu faizaa katukanaa wee mwisho wa siku kaja kuomba mwenyeww msamaha.. Too bad kamuingiza na mwanas kwenye huu Ugomvi yani BADDEST THING OF ALL laiti angejua Only God knows what tomorrow shall bring asingepandikiza Huu ugomvi wake na happy au sugu kwa hutu Mtoto kwa nchi zilizoserious na haki za watoto yani Jela inakuitaa mchana kweupe.
Faiza alishazaa na jama mwingine sijui nae yalimshindaa na Faiza HAWEZI KUMOVE ON KAMWE...mafanikio na maisha mazuri ya sugu yanamuuma kuliko kawaida ila Jambo zuri ni sugu na mke wake wanajua how to play smart.
Apumzike kwa Amani kwa hakika.
Siku nasoma hapa habari ya kifo chake, nililia siku 2 au 3 kama sikosei.
Hapo simfahamu sura wala jina.
Nafkiri atabaki kuwa mtu pekee nisiyemfahamu jina wala sura ambaye kifo chake kiliniuma kwa kiwango sijui kukielezea.
Warumi tulikuwa tunapiga ubuyu jamani, anaflow zakewalahi thread inakuwa so addictive.
Wambea pale tuliumia! Ah tuliwezwa!
Haki vile kile kifo kilijua kutusambaratisha mioyo!
Faiza haeleweki kabisaLakini na yy si alimove-on akazaa na msela? Au ndo yule aliomba maji taka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa walikuwa na battle yao Dina &Warumi Vs Matola. Matola alikuwa anawapelekesha hadi Warumi anaishia kujiquote na kujichamba mwenyewe. Alisema Matola ndiye mtu aliyemuhenyesha sana JF.
Hivi uliwahi kukuta bina akimumunya ubuyu kwa kinge? He will forever be missed.
]
Kuna rafiki yetu alioa huko , siku mmoja mtani wake akamuuliza naskia umeoa mgogo jamaa akasema ndiyo...Mtani wake akamwambia Pole.Ndugai Nation....Mgogo
Huyo huyo alizingua sana sista duu akamuacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaume wa zamani walikuwa mariooo mpaka wakatunga nyimboMan X yule
IncubatorAlikuwa anasema baba lini handsome alitaka mbegu yake tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Faiza kazidi wacha akomeshwe kimya kimya.SEMA HAPPY NAE MKOROFI SANAA... leo ndo nimejua nae anamchokoza kwa makusudi faiza
Kichwa kibovu kile mdomo hauna brekiSEMA HAPPY NAE MKOROFI SANAA... leo ndo nimejua nae anamchokoza kwa makusudi faiza
Kwa vyovyote hadi sasa hajapata mwanaume wa kumtoa ule mkojo mfupi kma vile alifanya Taita, kwa akili ya kawaida haiwezekani mtu akawa chizi kiasi kile jana nilipata kuangalia mahojiano yake na wale wambeya aisee the lady is crazy!!!Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake (aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale.
Wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae? Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto (Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.
Ukiona "Ex" wako anahangaika sana na wewe hata baada ya miaka mingi kupita basi fahamu kwamba bado anakupenda na anakuhitaji.Huyu dada Faiza muda mrefu amekua aki hangaika sana toka Sugu amemuacha. Ni kama hajakubali matokeo ameshawahi fanya vituko vingi ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Battle imehamia kwa Happy ambae ameolewa rasmi na Sugu. Issue kubwa ni hataki picha ya mtoto wake (aliezaa na Sugu) ipostiwe na Happy. Japo kwa upande mwingine anaweza kua na hoja ya msingi kwasababu Happy hana kawaida ya kumpost Sasha sio kwenye birthday wala matukio yoyote yale.
Wakati hata Sasha akienda Mbeya kwa baba ake Happy hajawahi kuonyesha furaha wala kumpost . Faiza anachohoji iweje leo Happy apige picha pamoja na raisi akijibaraguza kua Sasha ni mwanae? Kuna mengi sana nyuma ya hii triangle ya Sugu, Faiza na Happy na mtoto Sasha.
Nafikiri pia ni wakati sasa Faiza apewe msaada , maana ni dhahiri ana mental issues. Mambo anayofanya sio ya kawaida anakoelekea anaweza kumdhuru huyu mtoto (Sasha) as a way to get back at Sugu na Happy.
Anamuonesha upendo mtoto wa kambo imekuwa nongwa na ingekuwa anamnyanyasa au kumtesa napo ingekuwa nongwa...SEMA HAPPY NAE MKOROFI SANAA... leo ndo nimejua nae anamchokoza kwa makusudi faiza