Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Naomba akufanye Sugu wake tuKuna mchuchu mmoja kanimention. Afu nilishawahi kumtongoza akanikataa. Sijui ndo anataka anifanye Sugu wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba akufanye Sugu wake tuKuna mchuchu mmoja kanimention. Afu nilishawahi kumtongoza akanikataa. Sijui ndo anataka anifanye Sugu wake?
Acha tu. Enzi zile unatamaninushinde tu unascroll tu kwenye nyuzi; usipitwe na comment hata mojaWarumi jamani...RIP
Kim nana nilimkuta mwishoni mwishoni huko🤣
Ila JF ya zamani jamani....kuna mambo nayamiss tu....Watu walikuwa na maneno😅Mweeeh!!!
Nazeeka siku hizi.Dada mkubwa huwa ana maneno utafikiri ana undugu na Dr Kumbuka. Huwa nammiss sana kwenye ubuyu[emoji23][emoji23][emoji23]
si umesikia mke wenu anasifiwa.Nimejikuta nimeingia Jukwaa la Ubuyu bila kujua....
ah Warumi kiboko!Nilikuja kushangaa kumbe alikuwa mwanaume. Mwanaume alikuwa na ubuyu yule. Mungu amrehemu
haina digrii haina cheti.Da Sophy was bad news. Mnakesha naye siku nzima yeye peke yake. Anakwambia "hainaga digirii, ladha ya chumvi ni ileile kwa aliye na digirii na asiye nayo'"
Enzi za akina marehemu Warumi, mrembo by nature, Kim nana; miss neddy n.k. Waje team mondi na team kiba sasa daah
Vichaa kama wale ni kuwa mwehu zaidi yao.Daah Mrs Mbilinyi alijua kupagusa penyewe jamani. Alifikiri mwenzie ana moyo wa chuma[emoji23][emoji23]
kwahio mi naonekan Chadema mkuuSitomkatalia memba yyte humu akikushutumu kuwa ww ni mfuasi wa chadema kiitikadi,
Balaa kabisa!Ubuyu ukiletwa Sasa wee!![emoji16][emoji16][emoji16]warumi jeshi la mtu Mmoja(RIP)naangaliaga picha za mwisho siku ya msiba naumiaga Sana!Warumi jamani...RIP
Kim nana nilimkuta mwishoni mwishoni huko[emoji1787]
Ila JF ya zamani jamani....kuna mambo nayamiss tu....Watu walikuwa na maneno[emoji28]Mweeeh!!!
uzuri wa mtu upo kwenye macho ya mtuSugu hajielewi,Faiza chizi na Happy ni mwanamke mbaya…
Umemdiss faiza kwa dhati ya moyo wako kakakwahio mi naonekan Chadema mkuu
Eeh unakuwa mwehu kwa siku moja, then maisha yanaendelea. Kujifanya St Theresa Kila siku, utakuja ulishwe nnya huku unaangaliaVichaa kama wale ni kuwa mwehu zaidi yao.
Yani Faiza kuzaa na Sugu na Sugu kuoa mwanamke mwingine ni kama PASSPORT hivi ya kumbully anavotaka Happy!
Siku akiamua kumnaga miguu yake anamnangaaa weeeee, hata kama ipo kama jalo si yakeee.
Siku akiamua kubeza mahaba yake kwa mumewe , atananga weeeee amalize.
Siku akimwita sugu Kibamia aite weeeee, aridhike utafkr sicho alikuwa anakiwekea magadi anapata mlenda shwaaain nyauba yule.
So yeye ANAMILIKI HAKI ya kuwatreat HAPPY NA MUMEWE atakavyo, in the name of NDIO SIJAMOVE ON, ndio NATAKA KUZAA NAE TENA. NDIO NAMPENDA.
mwanamke yupi asingetumia silaha yoyote kumjeruhi na yeye?
Kwanza ashukuru Mungu huyo happy anamjeruhi na picha ya Rais wa nchi na maneno ya kumwita mwanae my daughter.
Mwingine angemfanya huyo mtoto kibaya zaidi anavyofikiria.
Na ya kwenda kulala msibani kwa marehemu Kuambiana ili tu kutukusanyia ubuyu. Apumzike kwa amani binamu yetuah Warumi kiboko!
yule kibokooooooo!
Kuna siku alienda msibani kwa babake Wema , ili tu aje atuchambe asbh yake.
Sijui tulimbishia nini wallahi.
ah tulichambiiiika mbwa sisi!
AHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHA tusi lake kuu, mbwa nyinyi!'
"Mbwa nyie, mimi ndiyo Warumi sina mpinzani Afrika mashariki na kati"Balaa kabisa!Ubuyu ukiletwa Sasa wee!![emoji16][emoji16][emoji16]warumi jeshi la mtu Mmoja(RIP)naangaliaga picha za mwisho siku ya msiba naumiaga Sana!
Mungu amuweke pahala pema
Nifah sijui yuwapi siku hizi
Tanzania mtoto akiongea English hata kama ni ya kuchomelea automatically anakuwa Bright.Huo u-bright umeupimaje?
Kwa kule kuongea kiingereza tu?
Ndio maana wanasema wanaume wanapokuwa wanatafuta wanawake wawe wanawafikiria na watoto wao kwasababu ya mambo kama haya.Mimi huwa namuonea huruma Sugu alizaa na mwendawazimu.
Hakuna mapenzi hapo. Faiza anataka pesa tu kwa sugu kwasababu kipindi anazinguana na sugu hakuwa hivi alivyo leo ukiacha umaarufu. Ila sasa hivi ana uwezo na fedha na pia ana mtoto nae.Mwanamke akikupenda AF akakupoteza yuko radhi afanye chochote hata kibaya lakini sio aone mwanamke mwingine anafaidi penzi lako. Sasa Faiza alijua akimuacha sugu jamaa atapoteana lakini anavyokuja kushangaa Mwamba Jongwe akiendelea kupeleka moto chini na mambo yakimnyookea kinamuuma sana na hata ile event yake ambayo mpk rais alitimba nadhani ile imeenda kulabua kitu kizito sana kwa Faiza ndo maana unaona kelele zote
Ukishaona binti anapanic za ajabu ajabu mkalie mbali.Kuna mwanamke nimezaa nae drama zake kama za Faiza tena ana matusi hatari,kuna walati mtt alikuwa kwangu kwenye michezo michezo yao watt akajeruhiwa kidogo hayo maneno yake sasa,kutokana na maneno yake sikutaka tena mtt aje kwangu
Aisee ni kama mimi, niliona simuelewi kabisa, mara anakuwa motivation speaker, mara mfanyahiasharA, mara anapiga picha na pesa. Nkashindwa uvumilivuNiliwai kum mu unfollw yule dada Kam mm nilipata kero vip sugu
Weka akiba ya maneno. Nyani atakumbuka pori lake siku moja. Utarudi uba stress hapa.Ah ah Nina mrangi nimezaa nae watoto 2,aiseee nimeokota dodo, mdada full mapenzi, heshima, n.k