reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]nimekuelewa dada,nimefuta kauli Ila Anamfundisha mwenyewe mwanawe japo wa kwetu sio wakamilifu pia"kashankupe"
Hebu uwe na akiba ya maneno, usimuite mtoto wa mwenzio hivyo. Kumchukia faiza kusiwatoe ufahamu kumhusisha mtoto na ujinga wa mama yake. Faiza ni mental case na inajulikana, hivi ukimprovoke kichaa nawe unaitwaje?