Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ila kuna wateja wengine pasua kicjwa .kwa hili faiza anaenda kuwa mfanyabiashara kamili sasa..maana anasafishwa kwa moto aiseShida sio biashara shida mizigo inachelewa ila Sasa anajibu Watu hivyo na block juu
Na sio kua wote wametapeliwa wengine wamepata
Kuna mmoja aliagiza chupi January zikaja Dec zimefuka zinanuka uvundo ptuuuu
[emoji1][emoji1][emoji1]Anasema aligawa na kuvaa mwenyewe zotee
Sasa Si kulostishana hukoo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi ht kampuni naogopa Kwa kweli maana dada angu ashawahi agiza vyombo china ,kaletewa sahani tupuu afu Sasa zimetoboka kati almost 400Bora ingekuwa ni kampuni yake ila mtu kama mtu aiseee hapana
Ndo maana kina kalynda hawaishi maana wengi weth hatujielewi ujueKumbe faiza hata kampuni lililosajiliwa kufanya hio kazi hana?
Kama ni hivyo bongo shamba la bibi aisee
Akija mnaija mmoja atakula vichwa sana
Usiwa amini waswahili wa mitandaoniShida sio biashara shida mizigo inachelewa ila Sasa anajibu Watu hivyo na block juu
Na sio kua wote wametapeliwa wengine wamepata
Kuna mmoja aliagiza chupi January zikaja Dec zimefuka zinanuka uvundo ptuuuu
[emoji1][emoji1][emoji1]Anasema aligawa na kuvaa mwenyewe zotee
Sasa Si kulostishana hukoo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hyo ndo shia kublok na kujibu vibaya ndo tatizo lilipoTatizo sio changamoto za biashara, bali una deal vipi na wateja wako pale ambapo zinatokea hizo disappointments? Kwa kuwatukana na kuwajibu hovyo? Kwa kuwa block kila sehemu?
Ni maajabu kwa kweli. Unamuamini mtu eti kisa ni star na ana followers kadhaa Ig na Twitter. Kuna watu ni wapumbavu sana.Yaani kuna alibaba, madeinchina wote hao unaagiza mzigo kwa jumla na hata ukitaka sample kwanza unatumiawa.
Kwa mizigo mikubwa silent ocean yupo hapo kukatiza bahari kama vile nchi kavu ili mradi mzigo ukufikie.
Viherehere vya kufanya kazi na mastar ndo vinawaponza, mastar wenyewe njaa tupu
Mi hapanaa jamani kwanza Sina HelaUnamuingizia pesa kwenye acc yake unasubiri mzigo [emoji2]
Na Siku zote Kwa mjanja huenda kilioyani mimi na akili zangu eti natuma m6 mtu aniagizie mzigo wa biashara yangu mtandaoni wacha nionekane mshamba ila kwa muoga hutakaa usikie kilio
Wakati Kariakoo 6m unabeba furushi balaaa unajaza duka lore!!mtu km Faiza anisamehe tuWana ela nyingi hao watu
Yani unampa mtu 6m kweli eti akuagizie mzigo?acha wapigwe na wapigaji na wapigwaji hawatakaa waishe
Wapo waaminifu dear wengi tu but few ndo matapeli na wanaharibu Sasa haokuna sisi hapa, wazee wa kuorder kwa wajasi wa IG.
Mie sikomi… siku nikipigwa ndio nitashtuka. Ila kwa sasa, na kuorder bidhaa kuendelee [emoji16]
Mungu amsimamie Kwa Kweli though hizi tuhuma hazijaaanza Leo Toka miaka miwili iliyopita na shida ilianza kipindi Cha lock down pale ndo paliharibuIla kuna wateja wengine pasua kicjwa .kwa hili faiza anaenda kuwa mfanyabiashara kamili sasa..maana anasafishwa kwa moto aise
Mimi yalimkuta dada angu hakuagiza Kwa Faiza aliagiza Kwa mtu vyombi vya 1.2m mwisho wa siku zililetwa sahani tu almost 400 zimetoboka yaaniUsiwa amini waswahili wa mitandaoni
Wafanyabiashara wengi tu walipata haya majanga...mm ntaendelea kumuamini ni mchakarikaji aiseMungu amsimamie Kwa Kweli though hizi tuhuma hazijaaanza Leo Toka miaka miwili iliyopita na shida ilianza kipindi Cha lock down pale ndo paliharibu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kilivyo kipole sasaa kisauti!!!akiongea Sasa utampenda balaaa kumbe anakuuaNa kisauti chake kumbe kitapeli
Yaap wapo wanaomuamini ila kwa aliyepigwa 6m au 1.6m hatokaa amuaminiWafanyabiashara wengi tu walipata haya majanga...mm ntaendelea kumuamini ni mchakarikaji aise
Tatizo ni kuwa biashara kabla haijashika mizizi tayari mtu anajifanya yeye ni milionea na anafanya matumizi ya ajabu ajabu.Maana pesa hawana isipokua Drama tu za mitandaoni
We ndo umeongea point kumbe zilikua pesà za wateja na Lau km angeweka akiba asingeyumba Sana ,Tena alipaswa awe chinj mpk akae sawa Sasa alianza kula faida kabla ya biashara kuanza kuchanganyaTatizo ni kuwa biashara kabla haijashika mizizi tayari mtu anajifanya yeye ni milionea na anafanya matumizi ya ajabu ajabu.