Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Niungishe na mimi dada ake.kuna sisi hapa, wazee wa kuorder kwa wajasi wa IG.
Mie sikomiβ¦ siku nikipigwa ndio nitashtuka. Ila kwa sasa, na kuorder bidhaa kuendelee π
Wapi huko dogo?Niungishe na mimi dada ake.
Mrs Lissu sikupingi ila huyu changamoto zake zimezidi. Wanaomlilia ni wengi sana. Sio hali ya kawaida. Angalau katika watu 100 changamoto ingetokea kwa watatu au wanne ila huyu ni wengi mno.Kama hujui experience za biashara hivi vitu utashadadia...ni.changamoto tu hizi..mm aliniagizia kimashine changu kikafika....!
Msukuma alikupolaaa mke[emoji3][emoji3][emoji3]Kuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika.
DuhKuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika.
Kumbe uliporwa [emoji1]Kuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika.
Wanaona fahari kuagiza mzigo kwa faiza π
ndiyo mafunzo ya maisha hayo, hakuna kutumia fedha ovyo ovyo, kila senti inahesabika.Wahindi noma sana kula yao sasa....utachoka, wale watu wanajua kubana bajeti to the maximum point. Nili'date na mmoja arusha, Outings nyingi anasisitiza kula chakula cha bei ya chini wakati mlipaji ni mimi.....maji chupa moja tu ziletwe glass mbili, juice sasa dooh...ila alinifunza sana yule binti.[emoji23][emoji23]
Jamani msiwalaumu,watu wote wafuate mzigo china?Bongo mataahira wengi sana, dunia hii bado unaagiziwa mzigo na mtu kama faiza?
Ilikuwa lazima niachwe. Kwa wakati ule nilikuwa nanuka umaskini mwili mzima. Ndo wakati niliweka bifu la kudumu dhidi ya umaskini. Miaka miwili baadae nikaanza kuchafua passport....Kumbe uliporwa [emoji1]
Ova
Imagine BRO kuporwa demu na mtu kutoka Ngudu.. πMsukuma alikupolaaa mke[emoji3][emoji3][emoji3]
Hehehe kuna day niliona insight ya mkaka mmoja anauza iphones tukafika mpk negotiation nikamwambia nitakutumia hela then ww nitumie huo mzigo hehehe after few days nikakuta 'user not found' sijui aliniblock au aliifuta hio accountkuna sisi hapa, wazee wa kuorder kwa wajasi wa IG.
Mie sikomiβ¦ siku nikipigwa ndio nitashtuka. Ila kwa sasa, na kuorder bidhaa kuendelee π
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]why msukuma daahhh....nimecheka sanaKuna ex wangu alijiingiza kwenye hii biashara ya kuwaagizia watu vitu akaishia kutapeliwa. Na yeye sasa hivi anadaiwa zaidi ya Tsh 5m na watu mbalimbali. Anajuta. Nimesikitika sana ila siwezi kumsaidia kwasababu aliniacha akaenda kuolewa na MSUKUMA. Ilikuwa ni dharau isiyovumilika.
Nilipigwa 50k blenda mbovu mpk Leo siagizi nje