Faiza Ally na Wema Sepetu Ndani ya Bifu Nzito

Huyo bint alilalamika kuliwa jicho na mheshimiwa.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji14] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Faiza ana matatizo...akiamaliza kumtusi na kumdhalilisha mpenzi wa Sugu atakuja na yy ndo anapendwa na sugu au kujilizaliza kuhusu sugu akimaliza hapo atamvaa Wema bidada hebu angalia yako.
 
Huyo wema katoto ka mwaka 88 ndo kametimiza 28 mwaka huu tunakajua vizuri tuliokua tunamuona akiwa anakua pale kwao Sinza. Lakini sasa na huyu Faiza kweli kadata yeye na Wema nani mzee? Faiza mid 30's huko anaitafuta 40
 
Nimeona, pia nimeshuhudia.

Na bado kitazidi kunoga bila shaka kitaanza kufundishwa ngazi zote za elimu bongo:Sekondari hadi Chuo Kikuu...
afadhali maana hiki kiingereza!ni majanga mashuleni huko!!!
llloooohhh!!
 
afadhali maana hiki kiingereza!ni majanga mashuleni huko!!!
llloooohhh!!
Nakubaliana nawe. Ni afadhali.
Ila sasa, bado itakuwa shida tena. Wakalimani watapatikanaje kama Kiingereza hakifundishwi katika ngazi hizo?
Au wataajiriwa kutoka Kenya?
 
Sasa inatuhusu nini sisi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…