Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliona mbali sanaSometimes madhara ya kupiga peku sio magonjwa ya zinaa tu ila kuleta matatizo kwenye maisha unajikuta tu una ukaribu na mwehu mmoja kisa ni mzazi mwenzio.
tatizo hapa kukengeuka na marafiki uchwara ,wakati mnakubaliana nyie kwajili yamipango endelevu wapambe wanaingilia hasa wakikutana na mweza wako kichwa lesiSometimes madhara ya kupiga peku sio magonjwa ya zinaa tu ila kuleta matatizo kwenye maisha unajikuta tu una ukaribu na mwehu mmoja kisa ni mzazi mwenzio.
Kweli kabisaSometimes madhara ya kupiga peku sio magonjwa ya zinaa tu ila kuleta matatizo kwenye maisha unajikuta tu una ukaribu na mwehu mmoja kisa ni mzazi mwenzio.
Nyeg.e mbaya SanaMapenzi bwana tuyaache kama yalivyo nadhani huyu dada toka aachwe na Sugu hajapata wa kumfikisha kama jamaa, maana kutwa kumsema mara hiki mara kile, mara amtukane, mara aombe radhi khaaaaaa
Huyo mwamba aliomba mlango takaHivi hachoki kumuongelea sugu,keshazaa mtoto na mwanaume mwingine bado anamuongelea tu sugu haaa mpaka inachoshaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amu rafiki yako ameukumbuka tena mshedede wa suguNa nyie wanaume mpunguze dozi mnaona sasa,mtu unakanyaga mashine mpaka miaka yote dada wa watu anaweweseka,halafu mbaya zaidi pesa ipo ndo kazidi kuchanganyikiwa aaa!!
Exactly , [emoji817]% .Tatizo lilianzia hapa
Alikuwa akipita njia ya vumbi, bibie aliwahi kuyanena hayo.Huyo mwamba aliomba mlango taka
[emoji1787][emoji1787], tunaitaga hakuna namna basi tuuu...Sometimes madhara ya kupiga peku sio magonjwa ya zinaa tu ila kuleta matatizo kwenye maisha unajikuta tu una ukaribu na mwehu mmoja kisa ni mzazi mwenzio.
NuzulatiView attachment 781104
Faiza Ally ambaye ni muigizaji wa Bongo movie na mama watoto wa Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kuwa hayuko tayari kuolewa na mzazi mwenzake huyo bali anaweza mzalia mtoto mwingine.
Faiza amefunguka hayo katika mazungumzo yake na eatv.tv ambapo amesema kuwa hana ndoto za kuolewa na Sugu bali anaweza mpatia mtoto mwingine kwakuwa ana mbegu nzuri na kujivunia kuwa binti yake ni mzuri kama baba yake.
“Sugu naweza mzalia mtoto mwingine maana ana mbegu nzuri kanipatia mtoto mzuri sana lakini sio kuolewa nae maana tulishindwana awali sidhani kama tunawezana tena”, amesema Faiza.
Mwana dada huyo mwenye watoto wawili hivi sasa ameendelea kusema kuwa ataongeza mtoto mwingine endapo atapata kipato zaidi lakini kwa sasa hali yake inamruhusu watoto wake hao wawili.
Hizo ni posts za zamani. Hamtaki tena sugu....katembelee page yake. Kwanza anajuta alivyokuwa anamlilia...
Wanawake tunawajua sana.Hizo ni posts za zamani. Hamtaki tena sugu....katembelee page yake. Kwanza anajuta alivyokuwa anamlilia...
Hii comment ya 2018 lakini yamekuja nikuta 2022Sometimes madhara ya kupiga peku sio magonjwa ya zinaa tu ila kuleta matatizo kwenye maisha unajikuta tu una ukaribu na mwehu mmoja kisa ni mzazi mwenzio.
Ukimpa nini?Wanawake tunawajua sana.
Usipompa leo hakutaki na anakuchukia sana.
Kesho ukimpa atakusifia kama Yesu.
Tunawajua ninyi mnaendeshwa na mihemko
Well said mkuu.Sometimes madhara ya kupiga peku sio magonjwa ya zinaa tu ila kuleta matatizo kwenye maisha unajikuta tu una ukaribu na mwehu mmoja kisa ni mzazi mwenzio.