Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wewe nawe? Mabox yamekulevya leo?
Umejuaje Zari ana miaka 40?
Hebu shushia hii.
Aaaii!unafanya kusudi ujue!!aaargh!she's damn so beautiful kulalekiiiii am just a hater!#envy#oooiSi mchezo jamani
Halafu nasikia huyu shori ana degree ya cosmetics huyu atagonga 60 yuko hivi hivi.
Bado nasisitiza kwamba binafsi huna kosa, kosa lilianzia kwa wale waliokulea ovyo ovyo! Sugu ana wazazi na ndg wengine, do u think wakiona mkamwana wao amevaa hivyo tena publicly wanapata picha gani? Nahisi ww na yule nabii Tito mna undugu wa damu, maana akili zenu zinafanans sana!
Aaaii!unafanya kusudi ujue!!aaargh!she's damn so beautiful kulalekiiiii am just a hater!#envy#oooi
Kwa mawazo yako unadhani mimi ni mtu Team mavi? Mimi Comment zangu based on reality, wanawake mjifunze kuwaheshimu wanaowapenda kwa dhati buzi likikata kamba ndio imetoka hiyo ikirudi pacha. Atajibeba.
Zari ikizunguwa Mkulu anamuozesha mwanaasha kabisaa ikulu.
Mwanaume tena mwanariadha mbio fupi FaizaFoxy
Aaaii!unafanya kusudi ujue!!aaargh!she's damn so beautiful kulalekiiiii am just a hater!#envy#oooi
Kwa kweli ni mzuri....mguu sasa looh
Huyu ana miaka 43 na watoto wanne Linda Beizudenhout.
huyu linda ni nani mkuu
Huyu ana miaka 43 na watoto wanne Linda Beizudenhout.
Umejuaje Linda ana miaka 43?
Bangi bana.