Faiza awachana wanaomponda kwa kuvaa Pampers siku ya kuzaliwa kwake


hilo neno 'MKAMWANA'....wewe ni mngoni...?
 

Huu mwaka umeanza vizuri...
 
Hapo hapo ndo alipotaka kufa sugu juzi duu kazi kweli kweli
 
huyu linda ni nani mkuu

Watu wa mashambani mnaanza kuonekana sasa.

Huyu Linda ni Dada yake na Richard yule Mtanzania wa kwanza kushinda ule mchezo ule wa kishetani unaitwa BBA.

Victor Kimesera mwanaye anaitwa Mali ndio amemuoa huyu mrembo, wanaishi zao Atlanta kwa Obama.
 

Attachments

  • 1421182415429.jpg
    37.1 KB · Views: 180
Bangi bana.

Wewe ni mtaalamu feki wa umri wa watu humu.

Ushawahi kudai Le Mutuz ana miaka 60 au sijui analingana umri na Mizengo Pinda.

Ulipoulizwa umejuaje ukaanza ngonjera.

Leo nimekubana tena kuhusu umri wa Zari. Hukujibu na ukaishia kuimba na kucheza mduara.

Kabla hata siku haijaisha umekuja tena na habari za umri wa Linda.

Nimekuuliza umejuaje, unaanza kucheza mdundiko.

You are such a shameless lying ass drama queen.

Boo-yaaaah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…