Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Unaish WAP kwa sasa! Samahan lakn
 
Dah. Swali gumu sana.

Malengo binafsi hayana tena muda kwangu, sasa hivi malengo yangu ni kuelimisha yale machache niyajuayo. Umeiona signature yangu?
Anhaaa sawa hapo nimekupata...

Halafu naomba kukuuliza eti tukuulize maswali hapa kwa hapa na ujibu hapa hapa au mpaka baadae kwa maana ninavyokuuliza maswali wadau wanasema naleta fujo??
 
Anhaaa sawa hapo nimekupata...

Halafu naomba kukuuliza eti tukuulize maswali hapa kwa hapa na ujibu hapa hapa au mpaka baadae kwa maana ninavyokuuliza maswali wadau wanasema naleta fujo??
Unauliza kwa sifa mno namna hyo inatakiwa auloze DJ ww ambaye ni host wa show.
Sasa wewe Audience unapokonya MIC kwa host na kujipa wasifu kivuli hizo ndyo fujo zenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…