Una kipi cha kujivunia ulichofanya hapa duniani katika maisha yako?Dah. Swali gumu sana.
Malengo binafsi hayana tena muda kwangu, sasa hivi malengo yangu ni kuelimisha yale machache niyajuayo. Umeiona signature yangu?
Unaish WAP kwa sasa! Samahan laknKule kwenye uzi wangu wa Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa niliwahi kuandika kuwa kumi lizards mtu umri ni ubaguzi. Chukulia tu kuwa mimi ni mtu mzima.
Nimezaliwa Dar Es Salaam.
Najishughulisha na mengi sana. Kwa uchache mimi ni bibi kazi ambayo nnaipenda kuliko zote.
Zingine ni pamoja na kilimo kidogo, ufugaji mdogo, consultant. Mjasiriamali na mwekezaji.
Anhaaa sawa hapo nimekupata...Dah. Swali gumu sana.
Malengo binafsi hayana tena muda kwangu, sasa hivi malengo yangu ni kuelimisha yale machache niyajuayo. Umeiona signature yangu?
[emoji15] kumbe ni mama yako?Maswali ya kejeli kwa mama yetu faiza hayana nafasi,usijaribu tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka swali hunter hamna muda mwingine.Una hoja ya msingi sana Comrade ila mimi nikimquote na kumuuliza maswali wadau wananipinga wanasema nafanya fujo hapa kwenye interview yake...
Mmh, nomaaMkuu hapa lazima fimbo cheza ikupitie. Labda asione au afunike..
Mpumalanga
Sasa vita mkuu ukiuliza swali unaleta fujo...interesting kwa maana sijamkashifu mtu yeyote au kumfanyia fujoHahahhhaha ishakuwa vita hii interview bora jf nzima toka muanze
Kuna mtu aliwahi kumkosoa na yeye akamwambia hivyo hivyoushingatie>>>uzingatie
Hapa chini atakwambia...
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga??
embu tuliaAnhaaa sawa hapo nimekupata...
Halafu naomba kukuuliza eti tukuulize maswali hapa kwa hapa na ujibu hapa hapa au mpaka baadae kwa maana ninavyokuuliza maswali wadau wanasema naleta fujo??
Hapo sawa nimekuelewa Bibie pamoja sanaWengine ntawajibu baadae, nilifanya kosa kidogo kumi but zee la kuwahi Joseverest, mtanisameh.
Joseeverest[emoji777] [emoji777] [emoji777]Wengine ntawajibu baadae, nilifanya kosa kidogo kumi but zee la kuwahi @joseeverest, mtanisameh.
Tuliembu tulia
Nimeuliza mambo gani yamekujenga kuwa Faiza hii Leo.Wengine ntawajibu baadae, nilifanya kosa kidogo kumi but zee la kuwahi Joseverest, mtanisameh.
Unauliza kwa sifa mno namna hyo inatakiwa auloze DJ ww ambaye ni host wa show.Anhaaa sawa hapo nimekupata...
Halafu naomba kukuuliza eti tukuulize maswali hapa kwa hapa na ujibu hapa hapa au mpaka baadae kwa maana ninavyokuuliza maswali wadau wanasema naleta fujo??
Hunter umerekebisha sahihiJoseeverest[emoji777] [emoji777] [emoji777]
Joseverest[emoji818] [emoji818] [emoji818]