The List
JF-Expert Member
- Mar 25, 2017
- 1,732
- 4,924
Eti huyu ana claim ni ME??Kuuliza swali ni FUJO??mbona wengine wanauliza huko na hamsemi Ni fujo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti huyu ana claim ni ME??Kuuliza swali ni FUJO??mbona wengine wanauliza huko na hamsemi Ni fujo
Mama nilikuuliza mwanzo umeolewa? Na kama umeolewa una watoto wangapi?Nasubiri maswali. Au kuna yaliyonipita? Maana uzi unaendelea mwendo kasi.
Mdogo wangu nimekuelewa siko hapa kushindana na mtu...nauliza maswali yangu kadhaa napita hivi nadhani umenielewa...Wengne wanauliza kistaarabu lakn ww mkuu unauliza kama una shindana na mtu relax mda wako utafika tu Mdogo wangu
napenda unijuze,napenda kusoma vitabu pia,je tunaweza share vitabu mimi na wewe?Nipo kawaida tu.
Isipokuwa nawaasa vijana wasome. Kila kinachosomeka wakisome. Kuna njia rahisi sana ya kujielimisha mwenyewe. Ataependa nitamjuza.
HeheheJoseeverest[emoji777] [emoji777] [emoji777]
Joseverest[emoji818] [emoji818] [emoji818]
Hance hebu kausha basi kaka,muache bi mkubwa ajibu maswali ya watu kwanza,wengine tunajifunza vitu vingi kupitia yeyeKijizuwia[emoji735]
Kujizuia [emoji736]
Aniongeezee[emoji735]
Aniongezee [emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
Mhusika kaniambia nivute subira...namheshimu sana hunter labda baadae atajibuHahahahaha hunter tuweke maswali majibu tusubiri kama vile tumewekeza tunasubiri majibu.
Poa poa dogo languMdogo wangu nimekuelewa siko hapa kushindana na mtu...nauliza maswali yangu kadhaa napita hivi nadhani umenielewa...
...................ntawajibu[emoji735]
nitawajibu[emoji736]
Utaratibu ni kwamba akishajibu swali anaulizwa lingine ama vipi...halafu mbona sina maswali mengi ambayo hayafiki hata kumi..ila usiwaze nimemuelewa amesema nivute subiraTatizo kuwa Na utaratibu
Hivi ww ni KE??Hii interview naona hainogi kama iliyopita. Tofauti na matarajio.
Hahaha ....nakufatilia mkuu!Ataependa[emoji735]
Atayependa[emoji736]
Atakayependa[emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
........Usituharibie lugha.
Subra maana yake nini?
Subira[emoji736]
Subra[emoji735]
Hehe. Wewe endelea mkuu asikutisheNiangalie nini?
[emoji16][emoji16][emoji16]Ataependa[emoji735]
Atayependa[emoji736]
Atakayependa[emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
Kama sio mwanamke wew basi utakuwa ni shoga maana unapenda sana kufuatilia watuHivi ww ni KE??