Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Huu uzi watu wanauharibu kwa kujaza mambo yasioendana na Interview.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukio lipi kubwa uliwahi kufanya kusaidia jamii inayokuzunguka!?Watu nnaoshindwa kuchanganyika nao ni wale wanaojisifia dhambi zao.
Mfano mtu anajisifia kutoka nje ya ndoa au kuiba na kama hayo.
Watu kama hao huwa najiepusha kabisa.
Hutopata muda, tunaomba utujibu hapahapa tu, utukate kiu yetu.Wengine ntawajibu baadae, nilifanya kosa kidogo kumjibu zee la kuwahi Joseverest, mtanisameh.
Faiza foxy katika maisha umewahi kata tamaa kuhusu jambo lolote uliokuwa Na shauku nalo!?
Lili Na kwanini ulikata tamaa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hujaitwa kuja hapa,dharau zako peleka kwenye Uzi mwingine,wewe ni mtu mmoja mbaya sana,una wivu Na ujinga mwingi sana.nani aliyekupa kazi ya kuwa editor hapa?
Ukijiuliza curriculum aliyekuwa anafanya fujo Jana alipo utapata akili.
kaka jitoe, faizafoxy keshaibuka kikaangoniFaiza akitokea hapa kujibu maswali najitoa JF!
Tukio lipi kubwa uliwahi kufanya kusaidia jamii inayokuzunguka!?
Jambo hilo lilikujengea sifa Na thamani ipi katika jamii!
nnaoshindwa [emoji735]
ninaoshindwa [emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
Hunter ukiweka swali hapa sasa hivi sidhani kama utajibiwa, ni bora usubiri tu usije ukaambiwa unataka umpindue mtuHahahahaha hunter tuweke maswali majibu tusubiri kama vile tumewekeza tunasubiri majibu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nnaoshindwa [emoji735]
ninaoshindwa [emoji736]
"Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga"?
Mfano mtu anajisifia kutoka nje ya ndoa au kuiba na kama hayo[emoji735]Watu nnaoshindwa kuchanganyika nao ni wale wanaojisifia dhambi zao.
Mfano mtu anajisifia kutoka nje ya ndoa au kuiba na kama hayo.
Watu kama hao huwa najiepusha kabisa.
Namtafuta shunie kaunguza mboga na andazi sioni leo daliliemmyta Sakayo
Shunie joanah
Linamo ukhuty
Gentries
carbamazepine Kichwa Kichafu
geniveros Neybright stable woman
Na wengineo kujeeeeeniii ila msichapie tu hapa tupo na mwalimu wa waalimu
Tatizo interview hazina utaratibu, kila mmoja mjuaji. Taabu kweli kweli.Aisee nimegundua mimi ni mvivu wa kusoma interview kila mara naishia njiani.....ngoja niwaache wenye kuweza
A spoilt brat[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] !!!Hunter ukiweka swali hapa sasa hivi sidhani kama utajibiwa, ni bora usubiri tu usije ukaambiwa unataka umpindue mtu
Mimi ni kama weweWw ni KE??
Umeolewa??
nikaona[emoji735]Nilikata tamaa nilipoolewa, nikaona masomo ndiyo basi tena. Kumbe ikawa kinyume chake.
Hivi ww huwa ni KE au ME??Huu watu wanauharibu kwa kujaza mambo yasioendana na Interview.
Jambo gani uliwahi Fanya Na ukaona hukustahili kulifanya!?Mengi sana, maisha yangu yote nimekuwa kwanza naishi kwa jamii halafu ni mimi mwenyewe. Yanayoonekana na Yasiyoonekana.
Huwa sifanyi kwa sifa nafanya kwa kuwa ni wajibu wangu.