Dx and Rx
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,323
- 3,143
Thanks.I fly at night in the real sense, you can never avoid that when you travel a lot by air. But I never fly in the nude.
I do prefer my baths in the nude. What about you?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks.I fly at night in the real sense, you can never avoid that when you travel a lot by air. But I never fly in the nude.
I do prefer my baths in the nude. What about you?
Well in good1) Malezi sasa hivi yamekuwa magumu sana. Wewe unajitahidi kulea na TV nayo inalea vingine. Play stations zinalea vingine. Day care wanalea vingine, a kianze chekechea nako anakumbana na malezi mengine.
Watoto wa siku hizi wanalelewa kwa shida sana, wanafikia mpaka wanachanganyikiwa, hawajuwi nani wakumfata.
Zamani tukilelewa na jamii nzima. Mtu mzima akikukuta njiani inafanya utovu basi atachukua hatua tena akiwa so proud kuwa a nafanya jema. Leo yanawezekana hayo?
Tujitahidi sana kuwa limit watoto na play stations na TV's.
Tunapowaanzisha shule tuhakikishe shule inafundisha maadili mema.
Ni hatari.
Hahahaha sawa2. Ukiona hivyo ujuwe huyo shule alisomea ujinga.
For sure3. Ukiona binaadam hampendi mwenzake ujuwe huyo ana matatizo.
Upumbavu wako umeshaonekana...Nikuulize wewe unayesema eti albadri ni ushirikina.
Usipotoshe uma hasa kwa wasio jua na pia usiuchafue uislamu kwa kiasi hicho aisee.
Umeongea vizuri sana aliye na macho na aoneMaisha ya duniani ni safari fupi sana kwa mwanadam. Maisha kwangu, umri uliopita umekuwa kama "adventure" ambayo siijutii.
Ibada, ibada, ibada. Tunaishi ili tuabudu. Wengi hawaelewi maana yake.
Kula vya halali ni ibada, kusoma ni ibada, kufanya kazi za halali ni ibada.
Kwa ufupi maisha tunayoishi ni ibada. Tuishi huku tukikumbuka hilo.
Utaratibu ni kwamba akishajibu swali anaulizwa lingine ama vipi...halafu mbona sina maswali mengi ambayo hayafiki hata kumi..ila usiwaze nimemuelewa amesema nivute subira
Na ww team ubuyu??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ww huwa ni KE??
Samahani, ukipata muda umalizie na hayo matatu yaliyobaki 4..5...na la mwisho kama hutojali..asante3. Ukiona binaadam hampendi mwenzake ujuwe huyo ana matatizo.
Hahahahahahaha!Navaa nguo za aina zote, saa zingine sivai kabisa, inategemea na "situation".
Nyingi sana. Walikuwa hawajanielewa, waliponielewa wakaelewa kuwa ni asset, hususan "comments" zilipoanza kunukuliwa na wabunge.Bibi nina swali moja tu, mengine nimeridhika nayo waliyouliza wadau.
Tangu ujiunge JF ushawahi kupewa BAN? Mara ngapi?
Tumeoana.Hapana hujaolewa ila umeishi na mumeo kwa miaka 35 mbona sijakuelewa hapo
Si Mimi huyo wala sijawahi kumuona.![]()
Sawa Bibi. Asante kwa Busara zako. Nakuona ulikua unauza Nyago siku ile ITV
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaahhhh!Nyingi sana. Walikuwa hawajanielewa, waliponielewa wakaelewa kuwa ni asset, hususan "comments" zilipoanza kunukuliwa na wabunge.
Niliwahi kuwa na cheo cha @JF ban 1, sifahamu mwengine aliyepewa ban mpaka kufikia cheo hicho.
Watakuja tu sasa hivi wapo kwenye usahili wa cocochanel.Ambae hajajibiwa aidha kaleta swali lisilo na maadili au alikuwa anatafuta ubishi.
Wale ambao wanahisi sijawajibu maswali yao ambayo hayapo katika makundi hayo mawili wayarudie ntayajibu.
Hukupoteza wawili ila ulipotewa na wawili....kwani wewe ndiye uliowapoteza au kusudi la Allah lilitimia?Hapana, sijaolewa.
AlhamduliLlah mimi na Mume wangu tumeoana kwa zaidi ya miaka 35 sasa.
Tuna watoto 5 nilipoteza wawili. La haula wala quwatta ila bi Llah.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.Hukupoteza wawili ila ulipotewa na wawili....kwani wewe ndiye uliowapoteza au kusudi la Allah lilitimia?
Asante.Hatuwezi. In shaa Allah nategemea kufungua library Mkuranga soon, nipo kwenye mipango hiyo.
Nilipewa wazo hilo na Bi Zainab Tamim ambae yupo hatua za mwisho kufunguwa library huko Kibaha. Ameni "inspire" sana.
Ohoo tujuze mamiiNipo kawaida tu.
Isipokuwa nawaasa vijana wasome. Kila kinachosomeka wakisome. Kuna njia rahisi sana ya kujielimisha mwenyewe. Ataependa nitamjuza.