Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

1) Malezi sasa hivi yamekuwa magumu sana. Wewe unajitahidi kulea na TV nayo inalea vingine. Play stations zinalea vingine. Day care wanalea vingine, a kianze chekechea nako anakumbana na malezi mengine.

Watoto wa siku hizi wanalelewa kwa shida sana, wanafikia mpaka wanachanganyikiwa, hawajuwi nani wakumfata.

Zamani tukilelewa na jamii nzima. Mtu mzima akikukuta njiani inafanya utovu basi atachukua hatua tena akiwa so proud kuwa a nafanya jema. Leo yanawezekana hayo?

Tujitahidi sana kuwa limit watoto na play stations na TV's.

Tunapowaanzisha shule tuhakikishe shule inafundisha maadili mema.

Ni hatari.
Well in good
 
Maisha ya duniani ni safari fupi sana kwa mwanadam. Maisha kwangu, umri uliopita umekuwa kama "adventure" ambayo siijutii.

Ibada, ibada, ibada. Tunaishi ili tuabudu. Wengi hawaelewi maana yake.

Kula vya halali ni ibada, kusoma ni ibada, kufanya kazi za halali ni ibada.

Kwa ufupi maisha tunayoishi ni ibada. Tuishi huku tukikumbuka hilo.
Umeongea vizuri sana aliye na macho na aone
Utaratibu ni kwamba akishajibu swali anaulizwa lingine ama vipi...halafu mbona sina maswali mengi ambayo hayafiki hata kumi..ila usiwaze nimemuelewa amesema nivute subira

Na ww team ubuyu??[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hivi ww huwa ni KE??
 
Bibi nina swali moja tu, mengine nimeridhika nayo waliyouliza wadau.

Tangu ujiunge JF ushawahi kupewa BAN? Mara ngapi?
Nyingi sana. Walikuwa hawajanielewa, waliponielewa wakaelewa kuwa ni asset, hususan "comments" zilipoanza kunukuliwa na wabunge.

Niliwahi kuwa na cheo cha @JF ban 1, sifahamu mwengine aliyepewa ban mpaka kufikia cheo hicho.
 
7fe5750a62a91d4128dcf84e7184aa33.jpg


Sawa Bibi. Asante kwa Busara zako. Nakuona ulikua unauza Nyago siku ile ITV

Sent using Jamii Forums mobile app
Si Mimi huyo wala sijawahi kumuona.
 
Nyingi sana. Walikuwa hawajanielewa, waliponielewa wakaelewa kuwa ni asset, hususan "comments" zilipoanza kunukuliwa na wabunge.

Niliwahi kuwa na cheo cha @JF ban 1, sifahamu mwengine aliyepewa ban mpaka kufikia cheo hicho.
Daaahhhh!

Sikutarajia hayo majibu kabisa na nimeuliza nikiwa natarajia kupata habari kuwa hujawahi kupewa BAN kutokana na jinsi unavyoshiriki mijadala.

Yaani hadi ulipewa gamba la JF ban 1, daaahhh!!

Hata sasa hivi hili suala la Ban linavuma sana japo wengine wanakuwa wanasema ukweli lakini wananyamazishwa kwa mtindo huo.

Nashukuru kwa majibu mazuri sana.
 
Ambae hajajibiwa aidha kaleta swali lisilo na maadili au alikuwa anatafuta ubishi.

Wale ambao wanahisi sijawajibu maswali yao ambayo hayapo katika makundi hayo mawili wayarudie ntayajibu.
Watakuja tu sasa hivi wapo kwenye usahili wa cocochanel.

Ngoja na mimi nikawatembelee.
 
Hapana, sijaolewa.

AlhamduliLlah mimi na Mume wangu tumeoana kwa zaidi ya miaka 35 sasa.

Tuna watoto 5 nilipoteza wawili. La haula wala quwatta ila bi Llah.
Hukupoteza wawili ila ulipotewa na wawili....kwani wewe ndiye uliowapoteza au kusudi la Allah lilitimia?
 
Back
Top Bottom