babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Ficha ujinga wako wa kutokuijua dini yakoWw umesema haipo that's y nikakwwmbia ipo .nasoshirki inasomwa msikitini pale msikitini hakuna miungu mingine .sasa unauliza nini kinatokea ??fanya tafiti kwawatu walosewa nini kiliwakumba .kiufupi so nzuri huwa inatafuna mpaka wasokuwepo wakimwepo watoto mke\mume .
Acha sifa za kijinga basi tulia .Usituharibie lugha .
Anisameh maana yake nini?
Anisamehe [emoji736]
kama ndoa yenu ni ya kiislam thibitisha kwa dalili kwamba hujaolewa bali mmeona.
mimi nakuwekea ushahidi hapa kuonyesha mwanaume ndio aanemuoa mwanamke.
Na si kinyume chake.
Allah anasema:
Na ikiwa mnaogopa kua hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake wawili, au watatu au wanne.
Na kama mkiogopa hamtowafanyia uadilifu oeni mmoja tu.an-nisaa: "3
NINAKUPENDA SANA MAMA YANGU KWA AJILI YA ALLAH
ushauri wangu pamoja na kwamba una elimu kubwa ya mazingira.
Pia nakuomba jitahidi sana kukaa kwenye darsa bora za kiimani. ki ukweli itakusaidia sana mama yangu kukujenga kiimani na itakuondelea mitazamo kama hii ya kimagharibi.
nakutakia kheli.
Kama mwanaume ameambiwa aoe, mwanamke si ndio anae olewa au unataka kuniambia mwanamke nae ameamrishwa amuoe mwanaume?.Sura na Aya hiyo hiyo neno "fainkihu" ni "2nd person plural imperative verb"
PRON – subject pronoun
الفاء واقعة في جواب الشرط
فعل أمر والواو ضمير متصل في محل رفع فاعل
Ni neno la kabla ya tendo, amri. Tendo lenyewe ni kuoana, huwezi kuoa pasi na kuwa na mwenza wa kuoana nae.
Kama mwanaume ameambiwa aoe, mwanamke si ndio anae olewa au unataka kuniambia mwanamke nae ameamrishwa amuoe mwanaume?.
Kama sivyo itabaki kama aya inavyosema kuna muoaji na muolewaji.
Unaonekana umeathirika na mfumo wa kimagharibi,
hizo ndio sera zao.
HOJA ZAKO HAZINA USHAHIDI BALI NI MITAZAMO YA KIMAGHARIBI TU.
...teh heh hee hee. hili goma nshawahi kuliona mahali!
Mbona umeshachapia kwa kuchanganya lugha mbili tofauti?Leo sipati picha kama kitakalika huku...jitahidini kuandika kwa ufasaha sana na wale wa kuchapia Kiswahili na English kuweni makini
Kanda mbili wacha zioane zina sifa zinazofanana, na kazi zao pia zinanafanana.Kwanza yapaswa uelewe maana kuoa na kuoana. Mwanaume ataoa bila ya kuwa na wakuoana nae?
Mkioana mnakuwa zawj (pair) mtakuwaje pair bila kuoana? Chukuwa kandambili na makubadhi yaoanishe yataoana? Fikiri.
Hahahah kimeeleweka lakini mkuuMbona umeshachapia kwa kuchanganya lugha mbili tofauti?
Kanda mbili wacha zioane zina sifa zinazofanana, na kazi zao pia zinanafanana.
Mume na mke hawaoani (hawafanani) kila mmoja anasifa tofauti majukumu tofauti
Hawa ni watu ambao hawaoani hawafanani sifa zao katika ndoa wala hawafanani utendaji wao.
Hapa huna hoja mama yangu unachokifanya hapa ni kutetea sera za kimagharib (usawa).
Hiyo ni kinyume kabisa naelezo ya qur an.
Hakuna usawa kati ya mwanaume na mwanamke.
Swala la haki za mwanamke hiyo hoja nyingine.Sera ya kuoana Kiislam ndiyo iliyokuja kumpa mwanamke haki zake. Soma kijana.
Swala la haki za mwanamke hiyo hoja nyingine.
Ahaa! ansante kwa taarifa.Ndoa si haki kwa mwanamke?
Samahani sikuelewa kama hili ni swali.Ndoa si haki kwa mwanamke?
Ni haki yake,Ndoa si haki kwa mwanamke?
kwenye wivu hata mimi nime note hilo.... hongera kwa kuona kwa jicho la tatu... lolNimefutilia Uzi huu tangu mwanzo.Nilichokigundua ni wivu uliopitiliza kwa baadhi ya wachangiaji.Kuna vijana wameanza kumchukia kwa kasi Muosha rungu.Wanaona pengine interview anazoziandaa zinazidi kumletea umaarufu.Ndio maana wanajitahidi kuleta mizaha kwenye interview ili zionekane hazina maana!!!Nakuomba uwapuuze mkuu wengi ni utoto tu unawasumbua wakikuwa wataacha.
Rudia coment yako sijaisomaNdoa si haki kwa mwanamke?
Mtu mzima umekula chumvi ya kutosha. Hongera kwako.Kama wa zamani utakumbuka kuna movie ikiitwa Black Mama White Mama. Mmoja wa ma actress, Pam Grier, alifanya movie iitwayo Foxy Brown. Akasahaulika jina lake halisi la Pam Grier na akawa maarufu kwa jina la Foxy Brown.
Enzi hizo wakanifananisha nae.