Ila Joseverest una fujo sana kwenye interview za wenzako, tofauti na nilivyokuwa nakufikiriaKaribu sana,
Natulia[emoji6] [emoji6] [emoji6]Acha fujo[emoji35]
FaizaFoxy tutakuwa tuna like maswali Na majibu awali ili twende sambamba.AlhamduliLlah, zamani tukisema "nnadunda".
Kwanza shukran sana kwa kunikaribisha. Ni vyema watu humu tukaelewana.
Nashukuru kwa mwaliko na nashukuru audience, nilikuwa nasoma comments kabla ya huu mkabala. Karibia zote ni njema.
Unajiona wapi miaka mitano ijayo kimalengo Mungu akijaaliaAlhamduliLlah, zamani tukisema "nnadunda".
Kwanza shukran sana kwa kunikaribisha. Ni vyema watu humu tukaelewana.
Nashukuru kwa mwaliko na nashukuru audience, nilikuwa nasoma comments kabla ya huu mkabala. Karibia zote ni njema.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Huyo Ajuza atakurekebisha kwenye sentensi zako mwanzo mwisho.Ni mwalimu wa Kiswahili huko Ulaya.
There is a reason behind, utajua siku moja tuIla Joseverest una fujo sana kwenye interview za wenzako, tofauti na nilivyokuwa nakufikiria
Anafanya TashtitiHali ya hewa leo ni mawingu mkuu hilo halina haja ya kumuuliza [emoji41][emoji41][emoji13]
Nahsi sio Jose mwenyewe mwenyeweIla Joseverest una fujo sana kwenye interview za wenzako, tofauti na nilivyokuwa nakufikiria
Ila Joseverest una fujo sana kwenye interview za wenzako, tofauti na nilivyokuwa nakufikiria
Karibu sana MamaHope nimewahi
Anakitafuta kiti cha muosha rungu kwa namna yeyote ile!Ila Joseverest una fujo sana kwenye interview za wenzako, tofauti na nilivyokuwa nakufikiria
Kaka interview muuliza maswali ni ww au dogo joseverest maana sielewi mkuu?FaizaFoxy tutakuwa tuna like maswali Na majibu awali ili twende sambamba.
Sema karibu bibi..! [emoji12] [emoji12] [emoji12]Karibu sana Mama
Tuli au sioTulia