Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Huwezi kunipenda kwa kuwa nausumbua moyo wako unafukuta kwa wivu!
Huna lolote ni roho mbaya ndo unaijua ndio maana upo hapa kuonyesha huo upimbi wako kumtukana Faiza bila aibu.

Aliyekuambia mm nahitaji kupendwa Na mtu kama wewe nan?

Mimi nakuona ka kyupi yako iliyotoboka katikati
Mimi nawapemda nyie watoto wazuri

Hamna sababu ya kuchanana kutoka moyoni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

msipigane nyie ni wake wenza kwaio muelewane[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuanza kumkosoa kwa spelling wakati unajua wazi huyo ni sawa Na bibi yako ni nn?
Nia yako ilikuwa ni kumdhalilisha kwa kisingizio tu huwa anakukosoa!
Una akili timamu?

Kumsahihisha ili azingatie taratibu za kiuandishi ni kosa?

Naona dishi limeyumba mahali si bure.

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Una akili timamu?

Kumsahihisha ili azingatie taratibu za kiuandishi ni kosa?

Naona dishi limeyumba mahali si bure.

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Kwanini leo? Na kwanini yeye tu wengine wote walikuwa wanazingatia hizo taratibu za uandishi!?
Ama ni wewe tu uliyekuwa unaona hayo makosa?
 
Back
Top Bottom