FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ikibidi why not?Hapa hadi kiarabu kitatumika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikibidi why not?Hapa hadi kiarabu kitatumika
Chakuongezea hapo pia apange muda wa yeye kuuliza maswali yake kadhaa kisha awape nafasi wengine.Pamoja na maangalizo yako unayoyaweka, we dogo unasababisha vurugu mwenyewe... Uzi unauanzisha saa kumi na moja kasoro robo wakati usahili unaanza saa 12. Hapa katikati unategemea hawa vijana wasiojua kufuata masharti watafanyeje??
Mtu maarufu kama FaizaFoxy vijana wengi wana shauku ya kumuuliza maswali ili wapate uzoefu wake katika maisha. Sasa muda wote huu unakatika lazima itokee vurugu tu.
Bahati mbaya sana, maswali ambayo walipaswa kumuuliza baada yako, kiherehere chao kimewafanya wayaulize kabla usahili haujaanza na matokeo yake hawajajibiwa na lawama zote wanakuangushia wewe...
Hongera kwa kipindi kizuri lakini jaribu kurekebisha kasoro ndogo ndogo ili uende sawa na vijana wenzako. nakushauri usahili uanze papo kwa papo ili kutowapa nafasi watu kuchakachua...
Baada ya kuandika hayo, mimi babu yenu narejea kitandani kupumzika na bibi yenu.
Comrade muda wa swala alizingatia?Una akili timamu?
Kumsahihisha ili azingatie taratibu za kiuandishi ni kosa?
Naona dishi limeyumba mahali si bure.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ahsante.ujue huyu mama nnavyomuheshimu nitakuwepo kwenye interview yake. naomba umuulize very constructive questions. huyu mama ana mambo mengi sana kichwani kwake kama hamjui
Vipi mama yanguyaan hakuna mvuto kweli kila mtu na kitu anachopenda yaan km tupo kkoo ova kuna watoto wa 16yrs!shame on u!
FaizaFoxy0.Mtazamo wako vitabu vina uwezo wa kubadilisha maisha?
1.Unasoma vitabu vingapi kwa mwaka?
2.Aina gani ya vitabu unapenda kusoma?
3.Tupe majina ya vitabu vyako kumi bora ulivyowai kusoma?
4.Kwa mtu ambaye anataka kuanza kusoma vitabu,aanze na kipi?
Huwa mnampa sifa asizostahili
Sio mzuri kwenye hiyo lugha kama mnavyomshabikia .
Karoho kananidunda ukiniita dogo!!safi tu dogo
FaizaFox1.Elimu ya dini inakusaidiaje katika maisha yako?
2.Elimu dunia na Elimu ahera ipi kwako ni kipaumbele?
3.
@FaizaFox1.Elimu ya dini inakusaidiaje katika maisha yako?
2.Elimu dunia na Elimu ahera ipi kwako ni kipaumbele?
3.
unasemaaa?Samahani nilikuwa namtayarishia Gozi (my pair) mahanjumati.
OK let's do it.
Karoho kananidunda ukiniita dogo!!
Sijui wataka ninyima nini.
Ni mahanjumat siyo mahanjumatiSamahani nilikuwa namtayarishia Gozi (my pair) mahanjumati.
OK let's do it.