Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ww ni nani unamchagulia mtu cha kuandika humu, hii ni 'user generated content' ka google maana yake


Kipi kilichokusibu au alikunyang'anya mume mwenzako[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Na nikukumbushe tu its CURICULLUM NOT CURRICULUM put that in yo skull[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sipati picha siku ukifahamu mm ni Mod[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha
 
Swali langu ni kwann awamu hii umepowa sana hautumii nguvu nyingi kutetea serikali ya Magufuli kama ulivyokuwa unatetea serikali ya Jakaya? nini kimekusibu?
Swali la pili: Unaonaje utawala wa Magufuli? unahisi anatupeleka sehemu sahii sisi taifa la tz?

FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom