Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

Faiza Foxy live interview on DJ sepetu show!!

FaizaFoxy mimi nauliza maswali kadhaa tu ya mwisho kwa kuwa yale mengine umenijibu vyema..Nimevuta subra kama ulivyosema..

Sasa maswali yangu ni haya..

1: Unachukuliaje suala la Malezi ya watoto hasa katika kipindi hiki cha Utandawazi? Uonavyo wazazi wanatimiza wajibu wao ipasavyo??

2: Kuna dhana imejengeka kwenye jamii yetu kuwa Mwanamke akipata elimu anakuwa na kiburi/majivuno na kumuona mumewe hafai, wewe unaonaje hili suala ni sawa au sawa? Je wewe limeshakukuta??

3: Ni kweli kuwa baadhi yenu nyie wanawake hampendani ninyi kwa ninyi?? Nini huchangia hili??

4: Ukipewa nafasi ya kuongeza/kupunguza kitu hapa JF ungeongeza nini au kupunguza nini...je unawashauri nini wamiliki wa mtandao huu pendwa??

5: Unawashauri nini vijana wanaotafuta mafanikio kwa njia za mikato (shortcut)??

Na mwisho kabisa unapendelea kufanya nini upatapo muda wa ziada..

(Mimi maswali yangu ni hayo tu, ukinijibu nitashukuru sana, asante)
5. No short cut in life.

Vijana wasome sana, wafanye kazi sana.

Maisha mazuri hayaji bila kazi.
 
5. No short cut in life.

Vijana wasome sana, wafanye kazi sana.

Maisha mazuri hayaji bila kazi.

Ngoja niongeezee, nimeikuta hii copy and paste katika group letu la Vitendo saccos, ina maana sana:

ANGALIA UMRI WAKO, UPO SAHIHI? UMEKOSEA? UNAHITAJI KUJIREKEBISHA?!!!

20 - 25 = Kama ni kielimu hujafikia malengo yako, sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya, pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako.

25 - 30 = Hakikisha uwe na angalau KAZI RASMI kama umeajiriwa au umejiajiri au una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato.

30 - 35 = Uwe na angalau kama sio nyumba basi kiwanja, tena ujitahidi uwe umeoa/umeolewa. Ni vema ukiwa na familia, kwa maana ya kuwa na watoto kama Mungu kakuwezesha.

35 - 40 = Ni wakati kiwanja kiwe kimejengwa na kama ni tayari basi nenda step nyingine ya kumiliki kama ni Gari au kuongeza nyumba na hakikisha vinaenda sambamba na ongezeko la familia. Hapa inabidi upambane sana kuweka misingi.

40 - 45 = Ni umri wa masahihisho, kama hukuwahi kununua kiwanja, kama hukujenga basi hapa pambana afe kipa afe beki, ni umri wa masahihisho. Ila kwa wale ambao wameenda vizuri huko nyuma basi hapa watoto wapo kwenye level tofauti za elimu, kwahiyo ni muda wa kuwawekea malengo ya kimasomo watoto wao.

45 - 50 = Kwa yule ambae hakukosea huko nyuma basi umri huu ni wa kuanza kuwatengenezea mazingira watoto wako, kama ni shughuli zako ni kuanza kuwahusisha, huku wewe ukijiweka pembeni taratibu na kuangalia fursa za umri wako. Lakini kwa wale waliokosea hapa ni kupitia zile hatua za 35 - 40.

50 - 60 = Ni kujiandaa na maisha mapya ya kustaafu au kujiweka mbali na kazi zinazotumia nguvu au akili nyingi

60 - 70 = Kula matunda yako huku ukiangalia misingi ya wanao inaendaje.

70 - 80 = Kula matunda
80 - nk = Umri wa kusubiria mauti
Yote kwa yote, maisha yetu yapo mikononi mwa MUNGU, kumbuka kufanya Ibada wakati wote...

WEWE UKO HATUA IPI, TAFAKARI CHUKUA HATUA.
 
Kama wa zamani utakumbuka kuna movie ikiitwa Black Mama White Mama. Mmoja wa ma actress, Pam Grier, alifanya movie iitwayo Foxy Brown. Akasahaulika jina lake halisi la Pam Grier na akawa maarufu kwa jina la Foxy Brown.

Enzi hizo wakanifananisha nae.
Thank you.
 
Ngoja niongeezee, nimeikuta hii copy and paste katika group letu la Vitendo saccos, ina maana sana:

ANGALIA UMRI WAKO, UPO SAHIHI? UMEKOSEA? UNAHITAJI KUJIREKEBISHA?!!!

20 - 25 = Kama ni kielimu hujafikia malengo yako, sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya, pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako.

25 - 30 = Hakikisha uwe na angalau KAZI RASMI kama umeajiriwa au umejiajiri au una shughuli yeyote ya kukuingizia kipato.

30 - 35 = Uwe na angalau kama sio nyumba basi kiwanja, tena ujitahidi uwe umeoa/umeolewa. Ni vema ukiwa na familia, kwa maana ya kuwa na watoto kama Mungu kakuwezesha.

35 - 40 = Ni wakati kiwanja kiwe kimejengwa na kama ni tayari basi nenda step nyingine ya kumiliki kama ni Gari au kuongeza nyumba na hakikisha vinaenda sambamba na ongezeko la familia. Hapa inabidi upambane sana kuweka misingi.

40 - 45 = Ni umri wa masahihisho, kama hukuwahi kununua kiwanja, kama hukujenga basi hapa pambana afe kipa afe beki, ni umri wa masahihisho. Ila kwa wale ambao wameenda vizuri huko nyuma basi hapa watoto wapo kwenye level tofauti za elimu, kwahiyo ni muda wa kuwawekea malengo ya kimasomo watoto wao.

45 - 50 = Kwa yule ambae hakukosea huko nyuma basi umri huu ni wa kuanza kuwatengenezea mazingira watoto wako, kama ni shughuli zako ni kuanza kuwahusisha, huku wewe ukijiweka pembeni taratibu na kuangalia fursa za umri wako. Lakini kwa wale waliokosea hapa ni kupitia zile hatua za 35 - 40.

50 - 60 = Ni kujiandaa na maisha mapya ya kustaafu au kujiweka mbali na kazi zinazotumia nguvu au akili nyingi

60 - 70 = Kula matunda yako huku ukiangalia misingi ya wanao inaendaje.

70 - 80 = Kula matunda
80 - nk = Umri wa kusubiria mauti
Yote kwa yote, maisha yetu yapo mikononi mwa MUNGU, kumbuka kufanya Ibada wakati wote...

WEWE UKO HATUA IPI, TAFAKARI CHUKUA HATUA.
Ahsante Bibi!!
 
Kuoana ni sawa zaidi. Kuna tofauti kubwa kati ya kuolewa na kuoana.
kama ndoa yenu ni ya kiislam thibitisha kwa dalili kwamba hujaolewa bali mmeona.

mimi nakuwekea ushahidi hapa kuonyesha mwanaume ndio aanemuoa mwanamke.
Na si kinyume chake.

Allah anasema:
Na ikiwa mnaogopa kua hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake wawili, au watatu au wanne.
Na kama mkiogopa hamtowafanyia uadilifu oeni mmoja tu.an-nisaa: "3

NINAKUPENDA SANA MAMA YANGU KWA AJILI YA ALLAH

ushauri wangu pamoja na kwamba una elimu kubwa ya mazingira.
Pia nakuomba jitahidi sana kukaa kwenye darsa bora za kiimani. ki ukweli itakusaidia sana mama yangu kukujenga kiimani na itakuondelea mitazamo kama hii ya kimagharibi.

nakutakia kheli.
 
kama ndoa yenu ni ya kiislam thibitisha kwa dalili kwamba hujaolewa bali mmeona.

mimi nakuwekea ushahidi hapa kuonyesha mwanaume ndio aanemuoa mwanamke.
Na si kinyume chake.

Allah anasema:
Na ikiwa mnaogopa kua hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnaowapenda katika wanawake wawili, au watatu au wanne.
Na kama mkiogopa hamtowafanyia uadilifu oeni mmoja tu.an-nisaa: "3

NINAKUPENDA SANA MAMA YANGU KWA AJILI YA ALLAH

ushauri wangu pamoja na kwamba una elimu kubwa ya mazingira.
Pia nakuomba jitahidi sana kukaa kwenye darsa bora za kiimani. ki ukweli itakusaidia sana mama yangu kukujenga kiimani na itakuondelea mitazamo kama hii ya kimagharibi.

nakutakia kheli.

Sura na Aya hiyo hiyo neno "fainkihu" ni "2nd person plural imperative verb"
PRON – subject pronoun
الفاء واقعة في جواب الشرط
فعل أمر والواو ضمير متصل في محل رفع فاعل

Ni neno la kabla ya tendo, amri. Tendo lenyewe ni kuoana, huwezi kuoa pasi na kuwa na mwenza wa kuoana nae.
 
Back
Top Bottom