Faiza wa mheshimiwa, achanwa IG

Uyo mdaku anasema Faiza kakimbilia kibaha? kwani faiza kwao wapi..
 
Simu yangu mie inaninyima uhondo jamn aah? Heaven ni dadavulie mama angu mpenz msiniache nyuma na mie
 
Hehehehe umbea anaupenda vifaa hana. Umbea wataka miundombinu Hasa... Ma iPad, iPhone, window phone,n.k

Aaaaaah aaaah dah binamu upo juu, hutaki kupitwa na habar za mujini, kweli lakin ukitak cha uvunguni sharti uiname, mzima lakin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…