Faiza wa mheshimiwa, achanwa IG

Halafu nasikia hawapatan na madam, kajala siku izi best yake penny na Victoria kiman yule demu aliyezinguana na wema studio kisa ndomo, mbaya zaid had picha yake kaipost mtandaon, dah bora wema angemuacha tu aozee jela

Huwa simpendagi kajala ....nlijua tu ni kimeo. Me nlishastuka coz nowadays wema ham post tena kajala ila anampost snura... K yake itakuwa sambu sambu toka atoke jela kila bwana mjini wake
 
Huwa simpendagi kajala ....nlijua tu ni kimeo. Me nlishastuka coz nowadays wema ham post tena kajala ila anampost snura... K yake itakuwa sambu sambu toka atoke jela kila bwana mjini wake

Ila mtamu sana kajala anaonekana, ukimuona na mambo yako vitu viwili tofauti..wamrudishe jela kwanza ashike adabu..
 
Ila mtamu sana kajala anaonekana, ukimuona na mambo yako vitu viwili tofauti..wamrudishe jela kwanza ashike adabu..

Shetwani tu.....Walachia sina mzuka nae akwendreeeee Huko...kujifanya malaika Kumbe kibwengo
 
Kumbe humu ndani kuna team wema lol, baada kumuonea huruma mke halali wa CK mnamuonea huruma mwizi hapo mwizi kazidiwa mbinu wote wezi na malaya hao.
 
Hivi mimi huwa sielewi. Umkute mtu alizaa na mwanamke mwenzio, wakaachana ukaingia wewe iwe kupitia kwa babu au kawaida. Unaanzaje kumnanga Hugo alieachwa? Hii confidence inatokaga wapi? Si ajabu unadanganywa hata hujui waliachanaje, pengine mwanaume ndo mshenzi hujachunguza unaingia kwa mbwembwe. Ndo maana tunaambiwa mwalimu kipofu na alishakufa. Unapambwapambwa siku mbili basi we ndo wewe. Wanaume si ndugu zenu alivyoddalilishwa mwenzio ndo utavyodhalilishwa wewe it's abt time. So muendege nao taratibu, maana akianza kukandiwa ex gf basi ndo unajiona umeshafika, jiulize we una kipi kikubwa cha kufanya yasitokee yaliyomtokea huyo alokuepo?Hata kama kaachwa ukachukuliwa wewe ni bora ujinyamazie kimya sio ujifanye we ndo wewe neo kama hivi sura unaiweka wapi? Na Sugu mwenyewe ndo wale wanaume wasiojua nini wanataka kiufupi hawajielewi!
 
Binamu tatizo lako uko nyuma saana na technologia, mh kapiga sana pale mbona?

Binamu yaan wema kapigika mpaka anamkopa Clement pesa? Clement kafanya vizurii yaan yupo na bilioneaa halaf ana shida na pesa aiseee huyu ni bilionea wa kata ya nyashishii, kajala nae hua hana wanaume mpaka wa rafiki zake japo Wema washaachana na clement,
Ndio maana sasa hiv wema makeke hayapo lol clement mwanaume bana anajua kujali haswaaaaaaaaa
 

Sasa ivi atajua umuhimu wa clement nyambafu zake , ila nilisikia clement alikuwa anatak mtoto sasa sijui wema kitasa cha mlango au vip..
 
Sasa ivi atajua umuhimu wa clement nyambafu zake , ila nilisikia clement alikuwa anatak mtoto sasa sijui wema kitasa cha mlango au vip..

Anataka mtoto wa naniii!!Naima vipi ashaachwaa!!
 
Anataka mtoto wa naniii!!Naima vipi ashaachwaa!!

Naona alikuwa anasafisha lungu, kajala machine nyie nilimbambiaga pande za mcity dah noma sema nilivyosikia anatoa tigo dah kanikatisha stimu
 
Naona alikuwa anasafisha lungu, kajala machine nyie nilimbambiaga pande za mcity dah noma sema nilivyosikia anatoa tigo dah kanikatisha stimu

Kajala mrembo sanaa,ila Wema kaniacha hoiiiii aisee Domo bahiliiiii lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…