Usijali bawasiri itapona tu baada ya muda kidogo.Weka huo uzi.
Nikiumwa chochote kile si ajabu, mimi ni binadam na wanaoumwa huwa hawaombei kuumwa au wewe unaona ajabu mtu akiumwa?
Usifikiri aumwae ni mtihani wake pekee bali ni mtihani mkubwa kwa watu kama wewe ambao hamfahamu maana ya kuumwa.
Na so far mhamasishaji wa kununua hisa nae hajaja na majibu mpk sasa hivi.Teh teh teh Watu.wanaishi kimjini mjini mpaka uzeeni
Usijali bawasiri itapona tu baada ya muda kidogo.
Na so far mhamasishaji wa kununua hisa nae hajaja na majibu mpk sasa hivi.
Ule udongo ni kiboko aisee,mpk umeweza kukaa?Unaonesha mzoefu, yako ilipona?
VITENDO SACCOS[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Majibu ya nini?
Habari wana JF!!
Mwanzon mwa 2017 aliibuka mwanamama aliyeanzisha uzi Hapa kuhusu VITENDO SACCOS. Mambo mengi yaliendelea na updates nyingi kuonesha kuwa mradi wao Ulikuwa Uko vp!! Mmoja wa wadau Maarufu humu ambaye alionekana kuunga mkono na kuanza kushiriki Ni FaizaFoxy.
Sasa Mimi Kama mdau wa JF ambae Sasa natka kujuwa wamefikia wapi, Faiza naomba tupe mrejesho wa Faida au mradi ulishakufa? Maana wengine kipindi hiko walikuwa wanategemea mirejesho ya wadau waliowekeza ili na wao waamini ili wawekeze huko.... Sasa mbona Hakuna update Toka 28 October 2017? Au humu Hakuna mdau aliyeshiriki ile saccos?
Unaamisha magoli mmama ile screenshot inajieleza kila kitu ila vp ile biashara mlifanikiwa mana namie imenivutia kutokana na ushawishi wako kwa jinsi ulivyowekeza na jinsi ulivyo kuwa unatupa mrejesho wa ile saccosSijawahi kusikia kitu kinaitwa "greda la mchanga". Fanya tafiti yako vizuri uje japo na chenye usahihi kiduchu..
Sijakuelewa. Kuwa muwazi ueleweke.Unaamisha magoli mmama ile screenshot inajieleza kila kitu ila vp ile biashara mlifanikiwa mana namie imenivutia kutokana na ushawishi wako kwa jinsi ulivyowekeza na jinsi ulivyo kuwa unatupa mrejesho wa ile saccos
Iweje?Bibi kizee kala kona
Unataka mrejesho kwangu wakati siye mimi nilieleta wazo la hilo?VITENDO SACCOS[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Naona huna jipya, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.Ule udongo ni kiboko aisee,mpk umeweza kukaa?
Bawasiri soon itaisha yote,utarudi hali yako ya kawaida.
Kwanini utafute majibu kwa "mhamasishaji" wakati aliyetaka kuanzisha saccos yupo humu JF na anaweka namba zake za simu wazi kabisa. Wasiliana nae umuulize upendacho, namba zake hizo: Abdul +255 625 249605Na so far mhamasishaji wa kununua hisa nae hajaja na majibu mpk sasa hivi.
Vipi maendeleo yako ya bawasiri kwa wiki hii?Naona huna jipya, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Tatizo kuwa na bawasiri? Au wewe robot huuguwi?
Bodaboda+Dawa za kuondoa kipara=MaendeleoUnataka mrejesho kwangu wakati siye mimi nilieleta wazo la hilo?
Karibu chaiIweje?
Hahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mama Faiza shikamooNini ambayo "ni kweli?".
Mimi nililipenda sana wazo la kuanzishwa saccos ya namna hiyo na maslahi yangu binafsi wewe yanakuhusu nini?
Mbona mbeya hivyo?
Hahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unataka kusema Faiza Ni janja janja kitambo sanaTeh teh teh Watu.wanaishi kimjini mjini mpaka uzeeni