Faizafoxy tunaomba mrejesho kutoka Vitendo Saccos

Faizafoxy tunaomba mrejesho kutoka Vitendo Saccos

Hakuna kinachoshindikana..... Maana ilimradi atupe mrejesho ABCs za huko
Bibi awape mrejesho wa nini wakati zipo nyuzi za aliyeleta wazo la saccos humu na nadhani ni "verified member"?

Au mnataka maoni yangu kama mdau?
 
A
Asisahau kuja na yule mama mwenzake aliyekua anauza nae dawa ya kuondoa kipara.
Huyo "mama mwenzake" si ana nyuzi zake humu unaweza kwenda muuliza upendacho, tena nijuavyo ni "verified member".

Nijuavyo hakuna "madawa ya kipara" niliyouza nae wala sijaona akiuza "madawa" yoyote. Wrwe kama uliona hayo hrbu weka nukuu hapa hapa kuwa mimi au huyo "mama" aliuza "madawa".

Nijuavyo anachouza huyo "mama" mpaka leo hii ni "Montmorilonite clay".

Umewahi kuisoma na kuielewa "montmorilonite clay" ni nini?Kama hujawahi kuisoma na hauielewi jifunze kutumia google uielewe, usipaparikie vitu usivyovielewa.
 
A
Asisahau kuja na yule mama mwenzake aliyekua anauza nae dawa ya kuondoa kipara.
Huyo "mama mwenzake" si ana nyuzi zake humu unaweza kwenda muuliza upendacho, tena nijuavyo ni "verified member".

Nijuavyo hakuna "madawa ya kipara" niliyouza nae wala sijaona akiuza "madawa" yoyote. Wrwe kama uliona hayo hrbu weka nukuu hapa hapa kuwa mimi au huyo "mama" aliuza "madawa".

Nijuavyo anachouza huyo "mama" mpaka leo hii ni "Montmorilonite clay".

Umewahi kuisoma na kuielewa "montmorilonite clay" ni nini?Kama hujawahi kuisoma na hauielewi jifunze kutumia google uielewe, usipaparikie vitu usivyovielewa.
 
Hahah daah mi mambo ya Kutunziwa hela na watu wengine sio hobby yangu mkuu.
Post uliyoijibu inaongelea "dawa" wewe unajibu "kutunziwa hela"!

Hivi huwa hamuelewi mnachokisoma au ni upunguani wa asili?
 
Siyo "alikuwa anaitwa", hilo ndiyo jina lake halisi na naona kwenye huo uzi wake kuwa ni "verified member". Kwani alibadili jina?

Na yupo na bado anaendelea na biashara yake na kila nikiwa Tanzania nnanunua "udongo" wake.
Uliwahi kuandika humu JF kwamba bawasiri inakusumbua sana lkn uliambiwa ule udongo hua unasaidia sana ukiupaka kwny eneo husika.

Vipi kwa sasa bawasiri iliisha?
 
Yap, itamake sense Kama utafanya hivyo, hata yeye akijja hapa au mmojawapo Kati yao...
Bibi awape mrejesho wa nini wakati zipo nyuzi za aliyeleta wazo la saccos humu na nadhani ni "verified member"?

Au mnataka maoni yangu kama mdau?
 
"Mungu" yupi? "Mungu" wa Yesu au "Mungu" Yesu?

Kumbuka tu, Waislam tunamuogopa Allah pekee. Asiyezaa wala kuzaliwa.

Hao na hayo mengine ogopa wewe.
Hahahaha makubwa haya! Basi replace Mungu with Allah kisha ujibu
 
Back
Top Bottom