Faizafoxy tunaomba mrejesho kutoka Vitendo Saccos

Faizafoxy tunaomba mrejesho kutoka Vitendo Saccos

"Mhusika" wa nini?
Sikuwekeza saccos yoyote ile, nimewekeza kwa mtu binafsi anaitwa Mzee Abdul ambae bado nawekeza nae kwenye miradi kadhaa kama ninavyowekeza kwa wengine.

Huyu BIBI @FaizaFoxy Mbona corona imekuacha kwa nini ?
 
Kwa niaba ya kamati ya ROHO MBAYA
IMG_20200602_100827_610.jpg
IMG_20200602_100731_406.jpg
huyualijiungakwalengomaalum
IMG_20200602_100617_990.jpg
IMG_20200602_100522_293.jpg
IMG_20200602_100441_709.jpg
muhamasishajimkuuanaetambulikakwamsimamonamtumaarufuJFkwawakatiule
 
Uliwahi kuandika humu JF kwamba bawasiri inakusumbua sana lkn uliambiwa ule udongo hua unasaidia sana ukiupaka kwny eneo husika.

Vipi kwa sasa bawasiri iliisha?
Weka huo uzi.

Nikiumwa chochote kile si ajabu, mimi ni binadam na wanaoumwa huwa hawaombei kuumwa au wewe unaona ajabu mtu akiumwa?

Usifikiri aumwae ni mtihani wake pekee bali ni mtihani mkubwa kwa watu kama wewe ambao hamfahamu maana ya kuumwa.
 
Huyu bibie alikuwa kamati ya uhamasishaji ngoja tusubiri alete mrejesho wa greda la mchanga kama nalo kulirudisha pesa
Sijawahi kusikia kitu kinaitwa "greda la mchanga". Fanya tafiti yako vizuri uje japo na chenye usahihi kiduchu..
 
Back
Top Bottom