FAIZAFOXY umenipa nini lakini?

FAIZAFOXY umenipa nini lakini?

Kwa sasa yuko Zanzibar anamguide yule mfalme wa Morocco anaekula vest kubwa zenye nembo mmea wa Bob Marley!

Wallahi kwa pale ndugu zangu waislamu mmeibiwa!
 
IMG_20161029_104247.jpeg

Msione kimya
Hadi muda huu anahangaika kulog in
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Asalaam Alaiykum,

Kipenzi, mtoto mzuri, sweetheart, Mrembo, Mvumilivu, Bibie FaizaFoxy toka siku ya kwanza tufahamiane mpaka tulipoachana alasiri ilee, nashindwa kukusahau wewe pamoja na vitendo vyako.

Zaidi ucheshi na utundu wako. Kwanini nashindwa kukusahau lakini?

Hii ni mara ya 3 nakuota tu wacha kukuwaza kwani imeshakuwa kero mpaka nimezoea.

Mbona sipati mwingine nimuwazae kama wewe mrembo?

Eti mshana jr, hii hali huwa inatokana na nini?

Damn!!! Why this cute lady?
May be it is the natural beauty coupled with Intelligence and grace
 
Vijana wanaokula na kulala bila bila utawajuwa tu.
 
Watu wanaumia kuona Faiza kapendwa.Mkuu kama vp mapenz hayo hamishia kwao
 
Asalaam Alaiykum,

Kipenzi, mtoto mzuri, sweetheart, Mrembo, Mvumilivu, Bibie FaizaFoxy toka siku ya kwanza tufahamiane mpaka tulipoachana alasiri ilee, nashindwa kukusahau wewe pamoja na vitendo vyako.

Zaidi ucheshi na utundu wako. Kwanini nashindwa kukusahau lakini?

Hii ni mara ya 3 nakuota tu wacha kukuwaza kwani imeshakuwa kero mpaka nimezoea.

Mbona sipati mwingine nimuwazae kama wewe mrembo?

Eti mshana jr, hii hali huwa inatokana na nini?

Damn!!! Why this cute lady?

Ahsante sana, hivi sasa nimeanzisha ukurasa wa Faidika na darsa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Karibu sana uchangie mada huko. Kuna maswali mengi ambayo nnaulizwa na nnauhakika kuna wengi humu wana uwezo wa hali ya juu wa kujibu mengineyo mengi.
 
Back
Top Bottom