Faizafoxy yupo wapi?

Halafu kila siku nakufundisha matumizi ya hii alama (=) alama hii inamaanisha kilichokuwa upande mmoja ni sawa na kilicho upande mwingine

Hivyo basi hapo utakuwa hujarekebisha kitu ,unajikuta mjuaji kumbe mweupe tu kichwani

Naam, na ndivyo kilivyokusudiwa.

1+1 = ?
 
Naam, na ndivyo kilivyokusudiwa.

1+1 = ?
Kikongwe siasa inamtokea puani, anatamani hata ahame ccm lakini kwasababu anamaslahi nayo hawezi toka. Ila ukumbuke kwamba mtu yeyote ambae anajipatia faida kwa kukandamiza wengine pepo hataionja na unaona yanayoendelea chamani kwako.nivema ujitoe kwenye chama na ubakie kama ulivyo maana mshika mawili moja hupokonyoka. Nakushauri muunge mkono Mange kimambi mwislamu mwezako ila mwambie apunguze matusi although hoja anayo nzuri sana .
 
Na hichi?

Tafsiri yako siyo sahihi, mnajulikana kwa kutia mikono yenu pasipotiwa mikono:

Qur'an 4:34. Men are the protectors and maintainers of women, because Allah has given the one more (strength) than the other, and because they support them from their means. Therefore the righteous women are devoutly obedient, and guard in (the husband's) absence what Allah would have them guard. As to those women on whose part ye fear disloyalty and ill-conduct, admonish them (first), (Next), refuse to share their beds, (And last) beat them (lightly); but if they return to obedience, seek not against them Means (of annoyance): For Allah is Most High, great (above you all).

Tazama njia ngapi za kupita kabla hujafikia kumpiga mwanamke kwa kipande cha khanga.

Uislam ndiyo dini pekee iliyokuja kumlinda mwanamke.

Tazama biblia inavyomdhadhalisha mwanamke hata anapozaa mtoto wa kike tu, inasema anakuwa najisi (kama nguruwe,maana biblia inasema nguruwe ni najisi msimguse):
    • Mambo ya Walawi Mlango 12
5 Lakini kwamba amezaa mtoto mke ndipo atakuwa najisi juma mbili, kama katika kutengwa kwake; naye atakaa katika damu ya kutakata kwake muda wa siku sitini na sita.
 
Sio kila swali inabidi mtu umpatie jibu bali kumpuuza na hilo ndilo jibu zuri kwa mtu mpuuzi

Sema huwezi tu.

Mtu mpuuzi ulipoona uzi una jina lake ukaja mbio mbio. Majanga.

Hiyo ndiyo huiita "hate to love".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…