Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
- Thread starter
-
- #61
Itakuwa lazima niende,akanifundishe vitu ase.Yupo Msoga anakukaribisha mkacheze nae bao.
siwezi kitu gani?Sema huwezi tu.
Mtu mpuuzi ulipoona uzi una jina lake ukaja mbio mbio. Majanga.
Hiyo ndiyo huiita "hate to love".
Yupo ghetto ana mimba yangu
siwezi kitu gani?
Wewe ni bichwa maji kwani uongo?
Mfuate akakupe ilmItakuwa lazima niende,akanifundishe vitu ase.
jamani muda sana bibi,sijui au mama...yetu mpendwa wa kuturekebisha tunapokosea kiswahili na kutuletea vifungu vya qur'an,pamoja na kutufundisha civics hajaonekana.kapotelea wapi jamani...ndugu wa karibu au yeye mwenyewe ajitokeze aseme nini kimemkumba,sio siri uwepo wake JF ni muhimu sana aseeee.miss you sana FaizaFoxy
jamani muda sana bibi,sijui au mama...yetu mpendwa wa kuturekebisha tunapokosea kiswahili na kutuletea vifungu vya qur'an,pamoja na kutufundisha civics hajaonekana.kapotelea wapi jamani...ndugu wa karibu au yeye mwenyewe ajitokeze aseme nini kimemkumba,sio siri uwepo wake JF ni muhimu sana aseeee.miss you sana FaizaFoxy
Ohooooo!!!Kafukuzwa BAKWATA hela ya bando hana sasa hv anatafuta pa kufundisha madrasa
Ohoooooo!!!Dinin yake na ya Magu sio moja.....
Nani alikufundisha hilo nenoOhooooo!!!
??Mfuate akakupe ilm
kweli mkuu,vile ye afu ni m2 wa zamani so atafundisha sisi wa leo vitu vingne tuko hatujui ase.Mashaala ukhti wetu Allah kamjaalia kwakweri mambo mengi 2mejifunza kutoka kwake
ananiudumia=ananihudumia..ila ntamuuliza ka ni kweli mkuu.Huyu dada nimemuweka kinyumba na nimemzuia siasa, habari zake niulizeni mimi kuanzia sasa full stop, kwa sasa ananiudumia mm mme wake.
we,kwak..ni,dada..mkuu?Asalam aleikum....wapi dada FaizaFoxy