Faizafoxy yupo wapi?

Faizafoxy yupo wapi?

jamani muda sana bibi,sijui au mama...yetu mpendwa wa kuturekebisha tunapokosea kiswahili na kutuletea vifungu vya qur'an,pamoja na kutufundisha civics hajaonekana.kapotelea wapi jamani...ndugu wa karibu au yeye mwenyewe ajitokeze aseme nini kimemkumba,sio siri uwepo wake JF ni muhimu sana aseeee.miss you sana FaizaFoxy

Mashaala ukhti wetu Allah kamjaalia kwakweri mambo mengi 2mejifunza kutoka kwake
 
jamani muda sana bibi,sijui au mama...yetu mpendwa wa kuturekebisha tunapokosea kiswahili na kutuletea vifungu vya qur'an,pamoja na kutufundisha civics hajaonekana.kapotelea wapi jamani...ndugu wa karibu au yeye mwenyewe ajitokeze aseme nini kimemkumba,sio siri uwepo wake JF ni muhimu sana aseeee.miss you sana FaizaFoxy

Huyu dada nimemuweka kinyumba na nimemzuia siasa, habari zake niulizeni mimi kuanzia sasa full stop, kwa sasa ananiudumia mm mme wake.
 
Huyu dada nimemuweka kinyumba na nimemzuia siasa, habari zake niulizeni mimi kuanzia sasa full stop, kwa sasa ananiudumia mm mme wake.
ananiudumia=ananihudumia..ila ntamuuliza ka ni kweli mkuu.
 
Back
Top Bottom