Fake alien invasion

Nijibu hilo swali mkuu. Je uwezo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu? Usijibu kwa mazoea kwani huwa halijibiki
Mimi mwenyewe niliamini halijibiki lakin baada ya kupitia maandiko vyema nilielewa vyema..natumia simu ngoja niki log in kwa PC nitakufafanulia vyema tu naamini utanielewa labda uamue kukaza ubongo
 
Mimi mwenyewe niliamini halijibiki lakin baada ya kupitia maandiko vyema nilielewa vyema..natumia simu ngoja niki log in kwa PC nitakufafanulia vyema tu naamini utanielewa labda uamue kukaza ubongo
Poa nasubiri mkuu. Ila uwe makini maana ni swali gumu ambalo halijibiki. La sivyo Haya maisha yetu yawe ni movie na mungu ndo director
 
Poa nasubiri mkuu. Ila uwe makini maana ni swali gumu ambalo halijibiki. La sivyo Haya maisha yetu yawe ni movie na mungu ndo director
Swali gumu kwangu lilikuwa ni kama kweli mungu anatupenda kwanini ameruhusu tuteseke?hili ndo lilikuwa gumu kwangu lakn nilipata jibu so hilo lako wala sio gumu ka hili
 
Swali gumu kwangu lilikuwa ni kama kweli mungu anatupenda kwanini ameruhusu tuteseke?hili ndo lilikuwa gumu kwangu lakn nilipata jibu so hilo lako wala sio gumu ka hili
Nahitaji majibu mkuu. Wewe ni jibu kuwa je uwepo wa shetani ni mpango wake au alifeli
 
Mungu pekee ndiye atakayeokoa Dunia hii. Na ninaamini wa uwezo wake, hakuna ashindwalo.
 
Kuna kitu watu wanahitaji msaada mkubwa sana...

Kitu hicho au jambo hilo ni kujua maana ya kupenda maana naona watu wanahoji ni kwanini kama unampenda fulani umfanyie hivi au vile na ndio maana maswali kama haya yanapelekea watu kuuliza ni kwanini Mungu kafanya hivi au vile kama anatupenda

Kwanza kabla ya kuhoji kwanini kifanywe hiki au kile na fulani wakati anasema anakupenda jihoji wewe kwanza maana ya kupoenda unayoijua ni ipi maana kuna mtu ukimuuliza hata maana ya kupenda ni ipi anaweza kubaki akibung'aa tu halafu hapo hapo anahoji kuhusu upendo

Ukishatoka hapo jiulize maana sahihi ni ipi?

Ukishatoka hapo jiulize hasa kama hiyo maana ya kupenda unayoijua [kama utakuwa unajua hata moja] ndio maana ambayo ni sahihi?

Nadhani ukijaweza kujibu hayo maswali unaweza kuwa kwenye mazingira mazuri ya kuhoji kuhusu upendo maana naona watu wanahoji tu bila hata kujihoji wao....
 
Suala la Imani ni gumu sana kujenga hoja mwingine akaamini,inachukua muda sana tena na ufuatiliaji wa hali ya juu.Ndo maana hata hapa kuna mabishano sana kuhusu Christian na Muslim,na wahindi wangekuwa wengi hapa basi hata budhist ingeingia.Hii vita haina mshindi hadi hapo tutakapoona ule mwisho wa dunia yetu,maana huo hakika upo maana hapo ndipo itakapojulikana nani alikuwa mfuasi wa kweli katika dini yake,kusipotokea lolote wasio amini dini watajipongeza.Mtabishana lakini hakuna atakayeshawishika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…