KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 739
Mimi mwenyewe niliamini halijibiki lakin baada ya kupitia maandiko vyema nilielewa vyema..natumia simu ngoja niki log in kwa PC nitakufafanulia vyema tu naamini utanielewa labda uamue kukaza ubongoNijibu hilo swali mkuu. Je uwezo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu? Usijibu kwa mazoea kwani huwa halijibiki