Uk...Man utdMkuu, wewe timu gani?
We utaniita kila jina Ndugu ila najijua mwenyewe.Anhaaa, kumbeeee. Jamaa ni mnafki huyu.
Kavunja historia na Ule Ukuta mgumu wa Alt Madrid Sijui pale Barca cha msingi Barca itabidi wajitaidi kuposess mpira sana wakicheza kufukuzana itakula na fundi wa kutuliza Mpira Iniesta ndo hivyo tena tusubiriElclasico barca atashinda ikiwa zizzou kafukuzwa tu jamaa anajua kucheza gemu kubwa hasa zenye presha na amsha amsha
Umekadiria padogo sanaa hzo namba jumlisha zote ndo upate idadi ya magor watakayopigwa barca
Gomez is lazy
Halafu jana dennis Suarez ndio alikuwa mcgezaj bora wenu japo alicheza dk 45, you guyz mko hovyo sanaaa
HahahaUmekadiria padogo sanaa hzo namba jumlisha zote ndo upate idadi ya magor watakayopigwa barca
Lamasia kwasasa haina eachezaji wenye viwango na hiio hua inatokea kwa bahati ukapata kundimoja kwa mwaka ukapata wachezaji zaidi ya saba wote in wazuri kama class ya akina Messi kabla ya hapo walikua wananua sana kuanzia akina Etto Ibra Gaucho Rivaldo au mfano angalia ,class.ya. akina Beckham na wenzake wote walitokea Accademy ya ManU lakini kwa sasa wamepata mmoja huyu fowadi dogoMkuu naona Kama Luis Enrique timu imekua kubwa kuliko yeye japo kawapa kikombe ila zile touch zao zimepungua sana na hii sera yao ya kusajili ovyo ovyo wanataka kuwaiga real madrid sijui La Masia haitoi vyombo tena
Wanamtaka Moses wa ChelsiePacco
Hapana kama watafungwa so zaidi tatu kwa sababu Bale na Kroos hawapoNilitabiri madrid tutawafunga brca 6-0 ila kwa kuea juma mosi tumecheza vibaya na nyie marefa wana wabeba sana sasa nimetabiri 4-0 tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kiongozi mimi mwenyewe ni mnazi mkubwa tu WA Barcelona ila hiyo Tar 3 tutafungwa tu maana Madrid wako poa Sana Barcelona beki MA kiungo hakuna kabisaaa akanawe miguu ukalale naona unamwaga povu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili ni povu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Simjui mtu huyo
Jana ila kama uliangalia gem dogo denni alifunika wote japo naye alicheza vibaya
Messi kama lisinge kuwa goli alikuwa ndo flop of the match
Si ipendi barca ila jana mmecheza hovyo kuliko miaka yote mi niliyo wahi kuona mna cheza, may be mlicheza hivo 2007 mara ya mwisho.
Refa ali waokoa na Vela alikuwa ndio Man wa match.
ushasahau kuwa ile thread ulileta kumponda MESSIDaa kuna thread moja nlileta hapa watu wakasema Rakitic Sio mzuri
Nimeongelea Negativity sijagusa Positivity Aya Kuna Alex Song tena Na Fabregas leo wako wapi
Warudi tu kwenye sera yao ya kupika vyombo vyao wenyewe
wewe sio mfuatiliaji wa Barcelona umezoea.kuiangalia ikicheza na madridMpaka leo messi analaumu kuondoka kwa DAN ALVES Barca na kwanini hawakumpa mkataba mwingine sijui LA MASIA inakwenda kufa kabisa maana toka watoe kiungo RAFINHA mpaka leo bado sijaona mazao bora kama XAVI, INIESTA, PEDRO, FABREGAS, PUYOL, MESSI, VALDES nk. Hii timu ilikuwa bora mpaka mourinho alisanda mbele ya hawa wanaume na alikufa pale bernabeu. Na ukitaka uiodhoofishe barca wanyime MSN nafasi ya kupata mipira mingi kutoka kwa viungo wao kama IVAN na INIESTA na endapo hutawazuia hawa jamaa wawili utakufa tu hata kama utakuwa na mabeki wa aina gani maana hawa jamaa vichwa vyao havina akili lakini miguu yao ni zaidi ya akili ya kawaida.
BARCA na MAN U wapi na wapiUk...Man utd
Spain Napenda Barca
Tatizo tukiongea ukweli watu wanasema Unafiki
Timu isipowekwa vizuri itakuja kupata shida sana mkuu
Anza game na Sevilla ushindi tena kwa Mbinde
Malaga sare Sare
Real Sociedad sare Sare
Hata zile dozi nene nene zimepungua siku izi
kwa maneno yako unamaanisha Barcelona.wanaingia MSN pekee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kiongozi mimi mwenyewe ni mnazi mkubwa tu WA Barcelona ila hiyo Tar 3 tutafungwa tu maana Madrid wako poa Sana Barcelona beki MA kiungo hakuna kabisaaa a
Hapa sizungumzii kukata Tamaa ila uwezo wao kwa sasa hivikwa maneno yako unamaanisha Barcelona.wanaingia MSN pekee
BARCELONA HATUJAWAHI KUKATA TAMAA
Lius is way better than pep basi tuLakini mbona mwenzake Gadiola alitengeneza viungo wengi tu mpaka wengine walikua bench nadhani Luis uwezo wake mdogo na kuna tetesi kuna coach aliekua timu B huenda akapewa timu maana hata wale watu watatu hodari kwa sasa ile spidi yà kufunga imepungua
timu yenye uwezo mbaya inaweza shika nafasi ya kwanza kwenye makundi UEFA [emoji15]Hapa sizungumzii kukata Tamaa ila uwezo wao kwa sasa hivi
Hii mechi tunawakalisha kama tunacheza na ruvu shooting..