Fall of Luis Enrique and the rise of Zinedine Zidane

Hii mechi tunawakalisha kama tunacheza na ruvu shooting..

Walah natamani hii gemu tuicheki pamoja.. Somewhere kwenye mizuka, kama Catalunya au koko [emoji1] [emoji23]

Ajajajajajajajaaaaaaaaa
Fanya hivyo basi?[emoji39] [emoji39]
 
kwa maneno yako unamaanisha Barcelona.wanaingia MSN pekee

BARCELONA HATUJAWAHI KUKATA TAMAA
Ivi Barca kutoka Msn Nani anagoli Nyingi mwingine?

We Ndugu unaongelea ushabiki na sio mpira.

Siku hizi hakuna watu wenye roho ngumu pale barca kama zama za akina Puyol,Deco de Souza,Xavi,Abidal waliobaki wote timu ikitangulia kufungwa ni Rahis sana kupoteana
 
sasa ndio maswali gani hayo

KAZI YA MSN ni MAGOLI
hao wengine ni mara chache

au ulitaka Ter ndiye afunge
 
sasa ndio maswali gani hayo

KAZI YA MSN ni MAGOLI
hao wengine ni mara chache

au ulitaka Ter ndiye afunge
Kama kuna uwezekano naye ruksa kufunga...
Kikosi cha Barca sio kipana sana kulinganisha na Real Madrid

Kuna timu wakicheza na Barca wakijua Messi hayupo tiyari wanaweka mentali ya kupata ushindi kichwani kwao
 
sasa ndio maswali gani hayo

KAZI YA MSN ni MAGOLI
hao wengine ni mara chache

au ulitaka Ter ndiye afunge
hawa ni wataalamu wa mpira wanasema hivi goal.com sasa wewe Ndugu still bado hujaona Mapungufu tu ya kikosi
 
We nawe uliambiwa na nan kwamba game dhid ya Real Sociedad walikuwa home?
 
We nawe uliambiwa na nan kwamba game dhid ya Real Sociedad walikuwa home?
Malaga nyumbani Kameni akawaokoa.
Umekimbilia kutoa hukumu mkuu game dhidi ya Sociedad walikua Away
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…