Fally Ipupa hana thamani kubwa kama ambacho waandaaji wa Tamasha lake wanataka kuwatoza wadau

Fally Ipupa hana thamani kubwa kama ambacho waandaaji wa Tamasha lake wanataka kuwatoza wadau

Ukiona haumudu bas ujue haijaandaliwa kwaajili yako, tunza hiyo buku 5 yako vizuuuri, buku mbili ununue bundle , nyingine utumie kama nauli ya kwenda kazini na kurud alaf inayobaki ukirud jioni ununue mihogo yenye kachumbari na pilipili mingi unywe na maji mengi alafu ulale.
 
Wewe huna pesa!
Tunaomfuatilia Fally tunajua burudani yake

Ukiona unalialia bei ujue wewe sio mlengwa wa huduma husika
Hivi unadhani tunapoandika humu tunajisemea binafsi? Mimi kwa miaka 6 mfululizo nafuata Rhumba Nairobi, ndio nishindwe hicho kilaki ! nilichozungumzia ni thamani ya Fally, hana bei hiyo
 
Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.

Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani

Wasio na hela(seat): 100, 000
VIP Table ........... : 1,000,000
VVIP Table......... : 1,500,000
Njoo kitaa huku siku hizi tunacheza Ngwasuma kiingilio kinywaji tu.

Fally Ipupa hachukui hizi pesa, huo ni mradi was watoto wa mjini, usifikiri kuendesha tako la nyani utapata pesa kwa kibarua Cha baniani.
 
mwaka wa 10 huu sijawahi kuonja bia ya Tanzania , sinywi bia ambazo chupa zake zinarudi tena kiwandani kujazwa tena
Lakini ndio hivyo wengine bei hawaziwezi hizo Heineken.... wanaamua kuangukia chupa za mende...🤣🤣🤣
lakini pesa ikiwepo hakuna mtu anapenda unyonge...
 
Mkuu unaposema fally ippupa n mwanamiziki wa kawaida unakosea. Sana

Labda sema wewe sio mpenz wa mziki wake na ndio maana unamuona wa kawaida

Nilikuwa abdjan Cote d'ivore mwaka juzi alifanyia show uwanja wao wa mpira kiingilio kilikuwa dola 70 siku nne kabla ya show tiket zote zilikiwa sold out



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona haumudu bas ujue haijaandaliwa kwaajili yako, tunza hiyo buku 5 yako vizuuuri, buku mbili ununue bundle , nyingine utumie kama nauli ya kwenda kazini na kurud alaf inayobaki ukirud jioni ununue mihogo yenye kachumbari na pilipili mingi unywe na maji mengi alafu ulale.
nimejikuta nacheka tu
 
Wewe huna pesa!
Tunaomfuatilia Fally tunajua burudani yake

Ukiona unalialia bei ujue wewe sio mlengwa wa huduma husika
Wabongo mna maneno ya shombo sana ! lengo langu ni kuwatetea nyinyi wanyonge tu , mimi sina tabu
 
Ukiwa na msukumo wa kupenda Rhumba na pesa unayo mbona unakata tiketi yako mapema sana.
 
Ukiwa na msukumo wa kupenda Rhumba na pesa unayo mbona unakata tiketi yako mapema sana.
Shida ya Fally ni moja tu na ndio maana thamani yake imeporomoka , ukicheza nyimbo zake 5 tu umekinai , tofauti sana Koffie ama Ferre Gola au hata JB Mpiana
 
Back
Top Bottom