Nakubaliana na wewe,nyimbo nyingi za Fali zina mfanano flani,tofauti na mzee Mopao.Shida ya Fally ni moja tu na ndio maana thamani yake imeporomoka , ukicheza nyimbo zake 5 tu umekinai , tofauti sana Koffie ama Ferre Gola au hata JB Mpiana
Mimi ni bingwa wa Rhumba mkuuNakubaliana na wewe,nyimbo nyingi za Fali zina mfanano flani,tofauti na mzee Mopao.
Nyimbo za Fali key za magitaa na midundo ya drums zinafanana sana.
umenikumbusha enzi za Club E ya TCCHuyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani
Wasio na hela(seat): 100,000
VIP Table ...........: 1,000,000
VVIP Table.........: 1,500,000
angalau wakati ule ipupa alikuwa na motoumenikumbusha enzi za Club E ya TCC
Kutwa nzima unashinda jukwaa la siasa ukiiponda Serikali, kutukana viongozi, kupinga na kukebehi miradi ya Serikali kumbe huna shughuli ya kueleweka zaidi ya kusubiri posho za ufipaHuyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani
Wasio na hela(seat): 100,000
VIP Table ...........: 1,000,000
VVIP Table.........: 1,500,000
Tena hiyo bundle atumie haswa kuendelea kuitukana Serikali na viongozi wake 😀Ukiona haumudu bas ujue haijaandaliwa kwaajili yako, tunza hiyo buku 5 yako vizuuuri, buku mbili ununue bundle , nyingine utumie kama nauli ya kwenda kazini na kurud alaf inayobaki ukirud jioni ununue mihogo yenye kachumbari na pilipili mingi unywe na maji mengi alafu ulale.
Hivi unadhani tunapoandika humu tunajisemea binafsi? Mimi kwa miaka 6 mfululizo nafuata Rhumba Nairobi, ndio nishindwe hicho kilaki ! nilichozungumzia ni thamani ya Fally, hana bei hiyo
Mkuu usinirudishe kwenye siasa , hili jukwaa ni lingineKutwa nzima unashinda jukwaa la siasa ukiiponda Serikali, kutukana viongozi, kupinga na kukebehi miradi ya Serikali kumbe huna shughuli ya kueleweka zaidi ya kusubiri posho za ufipa
Tafuta hela bwana mzee, wenye Saccos yao ya Chadema wanakutumia kama dekio tu,,, sasa unalialia kiingilio 100k kwa msanii Mkali kama Fally, are u crazy!???
Kama huna hela ya kiingilio usiende; acha kutupigia kelele.Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani
Wasio na hela(seat): 100,000
VIP Table ...........: 1,000,000
VVIP Table.........: 1,500,000
Basi Sugu akaimbe dei waka yake wahuni walipe bukubuku huku wakiitikia yoyoyoyeyeayeyeah ma pipo.Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana.
Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani
Wasio na hela(seat): 100,000
VIP Table ...........: 1,000,000
VVIP Table.........: 1,500,000