Falsafa mpya inajengeka ndani ya nchi yetu. Ni kuhusu nchi yetu kuwa channel na FM ya vichekesho huko mbinguni.

Falsafa mpya inajengeka ndani ya nchi yetu. Ni kuhusu nchi yetu kuwa channel na FM ya vichekesho huko mbinguni.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Natahadharisha!

Ukiona jambo nalizungumzuia ujue tayari nimeshalipima. Lina uzito.

Utani na mzahamzaha unaoendelea kwenye nchi yetu unaunda falsafa na mtazamo mpya juu ya kizazi kijacho katika taifa letu.

Kujidharau
Kujidunisha na kujiona sisi ni taifa la hivyo.
Watu wetu ni wa hovyo.
Vijana wetu ni wa hovyo na vioja.
Wanawake wetu ni wahovyo
Wanaume ni viongozi wa hovyo.

Zingatia hakunaga kitu chenye akili kikachekesha. Vichekesho na vioja hulenga zaidi kuufanya ujinga au mzaha ufurahishe.
Vitu makini au vyenye kutumia akili havichekeshi wala kuchekesha.

Tumekubali kujitambulisha kama taifa la vichekesho?
Taifa la Watu wakuchekwa?
Taifa la futuhi!
Taifa la vikatuni!

Kizazi chipukizi tunakilea katika msingi wa kuchekesha, kuchekwa na kuwa wachekeshaji mahiri Duniani.

Tunahitaji viongozi wa kuliona hili, tunahitaji viongozi wenye macho na kujua taifa hili linahitaji ulinzi sio tuu wa mali na rasilimali bali ulinzi wa Fikra, falsafa, na mitazamo ambayo ndio huleta maendeleo kwa Watu.

Taifa ambalo falsafa yake itajengwa kama channel ya vichekesho haliwezi kuwa taifa la maana. Haliwezi kuwa taifa la kutegemewa, haliwezi kuwa taifa makini lenye maendeleo.

Watu wa propaganda na wahusika wote wa mambo ya habari, mawasiliano na ûtamaduni angaliane jambo hili.

Nimemaliza.

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Kwema Wakuu!

Natahadharisha!

Ukiona jambo nalizungumzuia ujue tayari nimeshalipima. Lina uzito.

Utani na mzahamzaha unaoendelea kwenye nchi yetu unaunda falsafa na mtazamo mpya juu ya kizazi kijacho katika taifa letu.

Kujidharau
Kujidunisha na kujiona sisi ni taifa la hivyo.
Watu wetu ni wa hovyo.
Vijana wetu ni wa hovyo na vioja.
Wanawake wetu ni wahovyo
Wanaume ni viongozi wa hovyo.

Zingatia hakunaga kitu chenye akili kikachekesha. Vichekesho na vioja hulenga zaidi kuufanya ujinga au mzaha ufurahishe.
Vitu makini au vyenye kutumia akili havichekeshi wala kuchekesha.

Tumekubali kujitambulisha kama taifa la vichekesho?
Taifa la Watu wakuchekwa?
Taifa la futuhi!
Taifa la vikatuni!

Kizazi chipukizi tunakilea katika msingi wa kuchekesha, kuchekwa na kuwa wachekeshaji mahiri Duniani.

Tunahitaji viongozi wa kuliona hili, tunahitaji viongozi wenye macho na kujua taifa hili linahitaji ulinzi sio tuu wa mali na rasilimali bali ulinzi wa Fikra, falsafa, na mitazamo ambayo ndio huleta maendeleo kwa Watu.

Taifa ambalo falsafa yake itajengwa kama channel ya vichekesho haliwezi kuwa taifa la maana. Haliwezi kuwa taifa la kutegemewa, haliwezi kuwa taifa makini lenye maendeleo.

Watu wa propaganda na wahusika wote wa mambo ya habari, mawasiliano na ûtamaduni angaliane jambo hili.

Nimemaliza.

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umenena jambo la msingi sana
 
Kwema Wakuu!

Natahadharisha!

Ukiona jambo nalizungumzuia ujue tayari nimeshalipima. Lina uzito.

Utani na mzahamzaha unaoendelea kwenye nchi yetu unaunda falsafa na mtazamo mpya juu ya kizazi kijacho katika taifa letu.

Kujidharau
Kujidunisha na kujiona sisi ni taifa la hivyo.
Watu wetu ni wa hovyo.
Vijana wetu ni wa hovyo na vioja.
Wanawake wetu ni wahovyo
Wanaume ni viongozi wa hovyo.

Zingatia hakunaga kitu chenye akili kikachekesha. Vichekesho na vioja hulenga zaidi kuufanya ujinga au mzaha ufurahishe.
Vitu makini au vyenye kutumia akili havichekeshi wala kuchekesha.

Tumekubali kujitambulisha kama taifa la vichekesho?
Taifa la Watu wakuchekwa?
Taifa la futuhi!
Taifa la vikatuni!

Kizazi chipukizi tunakilea katika msingi wa kuchekesha, kuchekwa na kuwa wachekeshaji mahiri Duniani.

Tunahitaji viongozi wa kuliona hili, tunahitaji viongozi wenye macho na kujua taifa hili linahitaji ulinzi sio tuu wa mali na rasilimali bali ulinzi wa Fikra, falsafa, na mitazamo ambayo ndio huleta maendeleo kwa Watu.

Taifa ambalo falsafa yake itajengwa kama channel ya vichekesho haliwezi kuwa taifa la maana. Haliwezi kuwa taifa la kutegemewa, haliwezi kuwa taifa makini lenye maendeleo.

Watu wa propaganda na wahusika wote wa mambo ya habari, mawasiliano na ûtamaduni angaliane jambo hili.

Nimemaliza.

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Tuambie sehem pakujirekebsha coz kadhalika na ww pia kzaz chko kpo uko tunapo elekea
 
Watu wa propaganda na wahusika wote wa mambo ya habari, mawasiliano na ûtamaduni angaliane jambo hili.

Nimemaliza.

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mtu wa pili wewe nnakupa ukatibu wa kudumu u uMshauri wa Rais vijana.

Watu lazima wakae chini kutengeneza falsafa ya taifa na jinsi ya kuipropagate kwa watu. Tukiachia filamu, nyimbo na maelekezo kuropokwa na yeyote mwenye mdomo hata kama haeleweki changanyikeni hatufiki popote.

Hata hivyo hao wanaocomment kila mara taifa la hovyo, wanajua kweli athari ya uzembe huo?

Lakini tumaini lipo, na yeyote anayetaka tumaini atembelee jukwaa la stories of change. Ni uthibitisho kwambaTaifa linao wenye mafikirio mapana sana wa kutosha tu
 
Kwema Wakuu!

Natahadharisha!

Ukiona jambo nalizungumzuia ujue tayari nimeshalipima. Lina uzito.

Utani na mzahamzaha unaoendelea kwenye nchi yetu unaunda falsafa na mtazamo mpya juu ya kizazi kijacho katika taifa letu.

Kujidharau
Kujidunisha na kujiona sisi ni taifa la hivyo.
Watu wetu ni wa hovyo.
Vijana wetu ni wa hovyo na vioja.
Wanawake wetu ni wahovyo
Wanaume ni viongozi wa hovyo.

Zingatia hakunaga kitu chenye akili kikachekesha. Vichekesho na vioja hulenga zaidi kuufanya ujinga au mzaha ufurahishe.
Vitu makini au vyenye kutumia akili havichekeshi wala kuchekesha.

Tumekubali kujitambulisha kama taifa la vichekesho?
Taifa la Watu wakuchekwa?
Taifa la futuhi!
Taifa la vikatuni!

Kizazi chipukizi tunakilea katika msingi wa kuchekesha, kuchekwa na kuwa wachekeshaji mahiri Duniani.

Tunahitaji viongozi wa kuliona hili, tunahitaji viongozi wenye macho na kujua taifa hili linahitaji ulinzi sio tuu wa mali na rasilimali bali ulinzi wa Fikra, falsafa, na mitazamo ambayo ndio huleta maendeleo kwa Watu.

Taifa ambalo falsafa yake itajengwa kama channel ya vichekesho haliwezi kuwa taifa la maana. Haliwezi kuwa taifa la kutegemewa, haliwezi kuwa taifa makini lenye maendeleo.

Watu wa propaganda na wahusika wote wa mambo ya habari, mawasiliano na ûtamaduni angaliane jambo hili.

Nimemaliza.

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Huo ndo ukweli! Kwa yanayotokea Tanzania kuwa uwezekano mkubwa sana nchi yetu kuwa Channel ya vichekesho mbinguni.

Mfano we sikiliza hotuba za wanasiasa hasa wabunge na Mawaziri wa Chama changu CCM

Anaweza alikwa kwenye muhadhara wa jambo la utafiti ila kwenye kuongea kwake akatumia dk 15 kwenye dk20 kumsifia Rais.

Au suala la kina Mwijaku sijui Baba Levo kuwa watu wa kupewa nafasi kwenye mambo ya msingi ya maendeleo ya nchi unadhani sisi tuko sawa kichwani?

Nchi hii ina upuuzi mwingi sana!
 
Kwema Wakuu!

Natahadharisha!

Ukiona jambo nalizungumzuia ujue tayari nimeshalipima. Lina uzito.

Utani na mzahamzaha unaoendelea kwenye nchi yetu unaunda falsafa na mtazamo mpya juu ya kizazi kijacho katika taifa letu.

Kujidharau
Kujidunisha na kujiona sisi ni taifa la hivyo.
Watu wetu ni wa hovyo.
Vijana wetu ni wa hovyo na vioja.
Wanawake wetu ni wahovyo
Wanaume ni viongozi wa hovyo.

Zingatia hakunaga kitu chenye akili kikachekesha. Vichekesho na vioja hulenga zaidi kuufanya ujinga au mzaha ufurahishe.
Vitu makini au vyenye kutumia akili havichekeshi wala kuchekesha.

Tumekubali kujitambulisha kama taifa la vichekesho?
Taifa la Watu wakuchekwa?
Taifa la futuhi!
Taifa la vikatuni!

Kizazi chipukizi tunakilea katika msingi wa kuchekesha, kuchekwa na kuwa wachekeshaji mahiri Duniani.

Tunahitaji viongozi wa kuliona hili, tunahitaji viongozi wenye macho na kujua taifa hili linahitaji ulinzi sio tuu wa mali na rasilimali bali ulinzi wa Fikra, falsafa, na mitazamo ambayo ndio huleta maendeleo kwa Watu.

Taifa ambalo falsafa yake itajengwa kama channel ya vichekesho haliwezi kuwa taifa la maana. Haliwezi kuwa taifa la kutegemewa, haliwezi kuwa taifa makini lenye maendeleo.

Watu wa propaganda na wahusika wote wa mambo ya habari, mawasiliano na ûtamaduni angaliane jambo hili.

Nimemaliza.

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Tatizo ni huyo kutoka Visiwani.

Usimung'unye maneno
 
Huo ndo ukweli! Kwa yanayotokea Tanzania kuwa uwezekano mkubwa sana nchi yetu kuwa Channel ya vichekesho mbinguni.

Mfano we sikiliza hotuba za wanasiasa hasa wabunge na Mawaziri wa Chama changu CCM

Anaweza alikwa kwenye muhadhara wa jambo la utafiti ila kwenye kuongea kwake akatumia dk 15 kwenye dk20 kumsifia Rais.

Au suala la kina Mwijaku sijui Baba Levo kuwa watu wa kupewa nafasi kwenye mambo ya msingi ya maendeleo ya nchi unadhani sisi tuko sawa kichwani?

Nchi hii ina upuuzi mwingi sana!

Kwa hiyo sisi ni vituko Show Channel?
 
Mtu wa pili wewe nnakupa ukatibu wa kudumu u uMshauri wa Rais vijana.

Watu lazima wakae chini kutengeneza falsafa ya taifa na jinsi ya kuipropagate kwa watu. Tukiachia filamu, nyimbo na maelekezo kuropokwa na yeyote mwenye mdomo hata kama haeleweki changanyikeni hatufiki popote.

Hata hivyo hao wanaocomment kila mara taifa la hovyo, wanajua kweli athari ya uzembe huo?

Lakini tumaini lipo, na yeyote anayetaka tumaini atembelee jukwaa la stories of change. Ni uthibitisho kwambaTaifa linao wenye mafikirio mapana sana wa kutosha tu

Ni kweli Mkuu.

Watu wanapuuza mambo madogo labda kwa kudhani hayawaathiri moja kwa moja. Lakini miaka ijayo ambayo sisi hatutakuwepo falsafa zitakazokuwa zinategemewa na kuishi mioyoni mwao watoto na wajukuu zetu ni hizi zilizopo leo.

Kizazi chetu kinaishi kwenye maneno ya wazee wa miaka ya 1940- 1980.
Kizazi kinachokuja kitaishi kwa falsafa za 1980 -2020.
 
Back
Top Bottom